Rudi kaangalie comment yangu baada ya mdau kuweka starting XI,alafu nionyeshe Torreira pale yaani Niles,Iwobi na Guendouz wanaanza wakati Ramsey na Torreira wako benchi alafu analeta beaf na Ozil ambae analeta balance kwenye kiungo duh narudia tena kabla ya mechi nilisema kaangalie tu kua Unai...
Matokeo yalionekana mapema tu kua hatuwezi kushinda,Unai ana matatizo ambayo akiendeleza basi tuna majanga uko mbele.
Niliwahi kusema umu ila kuna mtu akanikomalia kua najifanya najua kuliko Unai ila ingawa vitu vingine viko wazi sana anapanga timu kibwege sana anasahau hii ni EPL haitaki...
Wabongo kwa unafiki tu tunaongoza,sasa ishu ya R Kelly na sisi wapi na wapi wakati hapa Bongo tunajazana kwenye show za Papii Kocha na Nguza Viking na tunamwaga miuno kila tukiusikia ule wimbo wa Seya wa mivalo kama kweli tuna huo utu tungeanza na hawa wa nyumbani kwanza sio kukimbilia...
Ndugu yangu top four sio masihara inatakiwa timu iwe mshikamano hasa na kusiwe na majeruhi ya aina yoyote ile ya muda mrefu hiki ndio kipindi ambacho hata Welbeck anakua muhimu ili kufanya squad rotation na ikiwezekana nguvu ibakie EPL tu kuokoa pumzi na muda ila Unai akileta tamaa za fisi...
Huu ndio ukweli ambao mashabiki wanatakiwa kuambiwa ule mtindo wa kupeana matumaini umepitwa na wakati,good thing tumekua boosted na kurudi kwa wachezaji wetu 5 ambao walikua majeruhi ni vema Unai akomae na hii squad iliyopo ajaribu kuleta miujiza ya kutufikisha top 4 ingawa siwezi kumlaumu pia...
Wanachukuliwa wote kwa pesa ipi mkuu?hii january tunahitaji miujiza tu ila tetesi zinaonyesha kua labda tumuuze Elneny na Ospina ili ku-rise fund angalau tupambane sokoni tofauti na hapo kuna kiasi kidogo sana kimetolewa kwa usajili maana hata Juve nao wametuzunguka kwa Ramsey wamembeba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.