Search results

  1. U

    Je, kuna utofauti wa kufikiri kati ya Mwafrika na watu weupe?

    Kuna kitu wazungu wanaita “paradox of plenty au resource curse” na labda kiswahili tuseme “penye miti hakuna wajenzi” Kuwa na rasilimali nyingi sana kunapunguza ulazima wa kutumia akili tofauti na watu wanaoishi katika mazingira ambayo survival yao inategemea kitu kimoja tu, mfano nchi za...
  2. U

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Tuangalie pia hao walimu wao wanapata wapi pesa ya kuwaweka vijana kambini na kuwahudumia? Kama wazazi wao hawachangii hata buku wao wanatoa wapi pesa hizo? Kata mnyororo wa pesa zao jeuri yote itakwisha
  3. U

    Siasa ni chanzo kikubwa cha umasikini Tanzania

    Tena umasikini wa akili/fikra. Mbaya sana
  4. U

    Ajabu lakini Kweli

    Maisha ni matatizo..
  5. U

    Uovu wa shetani ni upi kwa mujibu wa maandiko?

    Mbona wewe unapanga kuzaa mtoto mwenyewe na bado unakuja kukasirika akifanya tofauti na unavyotaka?
  6. U

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Mkuu najaribu kukipakua inagoma, msaada kwenye tuta.. labda ukitume tena [emoji120]
  7. U

    Wapi Bora? Kuacha kazi Serikalini mshahara 900k na kuingia Private mshahara 3Mil Contract 4 years

    Kuna mshkaji tulikuwa naye serikalini akapata deal ya international NGO, akaomba likizo ya “sabbatical” akapata akaenda.. mkataba ulikuwa wa mwaka mmoja na ni renewable, ila ulipoisha hakutaka hata kuongeza. Mpunga alipata mkubwa sana ila shuruba za kazi ni balaa. Mawazo yangu: 1.) NGO ni...
  8. U

    Nchi ya Madokta (Phd's) wengi bila faida

    Kuongoza vichaa ni lazima nawe uwe am u act kichaa. Haiwezekani mtu anaiba billions za kujenga soko au barabara halafu anakwenda ifungia hiyo hela ndani, kesho yake anapita ktk barabara mbovu au soko chafu kisha analalamika kuwa serikali haifanyi kazi. Kama sio ukichaa ni nini.. my take...
  9. U

    Kampuni ya Apple ni matapeli wa kimataifa mpaka nchi Yao wanawafahamu

    Sio tu mgumu bali hata hajaeleweka alichotaka kusema. Soma heading halafu angalia main body uone kama kuna uhusiano.. mimi sijamwelewa mantiki yake [emoji3525][emoji3525]
  10. U

    Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

    Mmh 750,000/= kweli?? Hivi kwa mshahara huo huyu mwalimu atakaa ajenge kweli? Au tuseme atafanya kazi miaka mingapi aje angalau kununua gari ya milioni 15? [emoji17][emoji17]
  11. U

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    The subtle Art of not giving a Fu*%k by Mark Manson
  12. U

    Kumbe Shetani Alikuwa Mwandishi wa Habari!, na Alichomfanya Eva Bustani ya Eden ni Uandishi wa Habari?- Je Media Tuombwe Msamaha Kuitwa Shetani au?

    Hawezi kukujibu hilo swali. Tatizo la kutoa tafsiri kwa uelewa binafsi ndio linaanziaga hapo. Kajifanya kaelewa zaidi ya kilichoandikwa ktk Biblia ila trust me.. maswali yoyote utakayomuuliza hatoweza kujibu kamwe sana sana ataishia kukutusi tu
  13. U

    Gavana BOT aagiza benki zipunguze masharti ya mikopo na riba

    Twende India Sasa Shem [emoji3525][emoji3525]
  14. U

    Taarifa maalumu, 'operation' imesitishwa, nuru imeonekana na 'the State' wamesema apewe muda

    Mkuu, ndio maana nchi yetu iko hivi uionavyo na matatizo yake ni makubwa kutokana na watu wa namna hii. Usitegemee kama nchi tukaweza pambana kiuchumi duniani na hata kucheza rafu kama wengine wafanyavyo ikiwa tutaendelea kuwa na watu kama hawa. Kwa Putin hawa ni kupigwa “nerve agent” tu kwa...
  15. U

    Serikali: Watumiaji wa Daraja la Tanzanite, Barabara ya haraka Kibaha - Morogoro, Igawa - Songwe -Tunduma kuanza kulipia ushuru

    Kweli kabisa kwa sababu hata madhumuni ya daraja ilikuwa ni kuokoa muda unaopotea kwenye foleni pale salender. JPM kwa kuliona hilo akaweka daraja lililomaliza kabisa shida ile, sasa hizi mang’aa zingine zinataka rudisha stress tulizoanza sahau
  16. U

    Swali: Kuna mtu amewahi tumia chumvi ya mawe na ikamsaidia?

    Itakuwa wakitimba kwako na kukutana na hiyo chumvi, wanaishia kuilamba na kulewa tu. Sema chumvi ukiilamba nyingi inachubua ulimii
  17. U

    Aisee, Kumbe mama anaupiga mwingi kweli bwana!!!

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  18. U

    Mwl Nyerere National park another powerful legacy of Magufuli

    Sasa kama alikuwa anaongoza madish kwanini yeye naye asiwe dish? Kama vile unavyokataa kwamba hakuwa jembe vivyo hivyo wapo watakaokupinga kwa kukataa kwako..
  19. U

    Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

    Soma kichwa cha habari ndugu.. hili ndio tatizo letu kubwa wabongo, huwa tunasikiliza au kuona ili tubishane na sio kuona au kusikiliza ili tuelewe [emoji3525][emoji3525]
  20. U

    Rais Samia: Tulifika uchumi wa kati tukarudishwa, tupambane turudi tulikokuwa

    Tatizo la umasikini wetu wakati mwingine ni la kujitakia tu. Mfano unakuta mtu huko kijijini anamiliki ng’ombe 1000 lakini ukiangalia maisha anayoishi yeye na mifugo yake havina tofauti. Wakati ng’ombe mmoja akimleta mjini na kumuuza anapata sio chini ya laki 3-8 hivii, akiweza uza hata ng’ombe...
Back
Top Bottom