Wadau, nasikitika sana kuona watanzania bado tunasukumwa kwa manufaa ya watu wachache.... kila mwaka lazima "kibopa" fulani aibuke na njia za kuwanyonya wa-TZ... halii hii itaendelea mpaka lini?
kipindi cha upungufu wa umeme, jenereta kibao ziliingizwa kama deal la watu fulani n sasa walaji...
Series:
1. Game of Thrones
2. Touch
3. The Mentalist
4. Prison Break
5. Breakout Kings
6. Spartacus
7. The Jeffersons
8. Sanford & Son
Movies;
1. Glory
2. The Shawnshank Redemption
3. Good morning Vietnam
4. Guess Who
5. Pride
6. Man of Honor
7. The gods must be crazy
8. Unforgiven
Wadau, naomba yeyote mwenye "idea" kuhusu kichwa hapo juu anisaidie ili nifanikishe hatua husika. Swali n kama ifuatavyo;Write the "Programming Competency Statement" (The ProgrammingCompetency Statement should list your programming language(s),describe specifically your level of proficiency, and...
KAIMU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bw. Selestine Gesimba, ameushukuru Ubalozi wa China nchini kwa kutoa msaada wa vifaa vya maktaba ambavyo vitawasaidia wananchi kuongeza maarifa zaidi.
Bw. Gesimba alitoa pongezi hizo Dar es Salaam jana wakati akizindua chumba cha maktaba...
Hahahaaa.... Wakenya kiboko! kipindi kile Babu wa Samunge alivyokuwa anatoa "dawa" yake, walitoa matangazo watalii washukie kwao kwa sababu yule babu yuko kenya.... inshort waliokuwa wakifika wanashukiakenya then wanasafirishwa mpaka kwa babu ilihali entrance fee zooote zinaishia kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.