Jamani Bongo inatisha,na siyo hapo tu ni ukanda wote wa Ocean Road kuanzia Ferry hadi Agakhan Hospital,usidhubutu kushuka kama utapata tatizo kwenye gari na hata kama unatembea kwa miguu pia,kuna vijana hujitokeza wakitembea kujifanya kama wanaelekea uelekeo wako na hata sometimes opposite...
Wonderful!,umesema imetumika kwa 3 weeks only!,at the same time unasema hujaitoa kata kwenye karatasi which is which?.Jamani Blog hii haijaruhusu kutapeliana mbona,matapeli wote ni sehemu ya mafisadi.
Damu nzito kuliko majiiii!!!!,tunachoangalia hapa ni uwezo,sasa yeye asidhani kuwa wanawe wana uwezo zaidi ya kuliko waliopo,waanze chini hukooo kwanza sio wanaibuka tuuu!! huo utakuwa ni ufisadi.
Duuh huu sasa kweli upumbavu,kuanzia Frank Kaduma pamoja na washiriki wake,vimini vitawaponza watoto,mabinti wengi wa IFM wanachanganya watoto,baba zao n.k.
Mtu mwenye akili zako huwezi kukubali kumfanyia mtu ona sasa mnavyodhalilika.Frank kimemponza kimini,IFM wanatega saaaaaaaaaana,shauri zenu.
Huu ni msemo kama mingine!,mbona wataalamu wanasema binadamu wa kwanza fuvu lake limepatikana Tanzania Kule Arusha je lilikuwa la mweusi au mweupe?.Lilikuwa la Mkristo au Mwiislamu????? inakaaje hiyo!.
Binadamu tunacheza na mungu,lakini ole wao kama ni kweli waliua na sasa wako huru,basi mungu atahukumu kwa haki na wala si wa haraka,yatima walioachwa wameumbwa na mungu na watahangaika kwa kadri shetani atakavyoona inafaa,lakini jicho la huruma la mungu litaona na litajibu.
Jamani naomba tuongelee hili la shule ya mama RWEKATARE kule Mbagala,mbona hakuna mikutano ya wazazi?,mwanae Rose ameanzisha duka pale na kuuza chocklate watoto wana shuka sana kielimu maana watoto muda wote wanafikiria ice cream na chocklate tu!.
Mimi sina tatizo kabisa na huyu mama,ni mama jasiri na anyewawezesha watu watu wazima na vijana,pia ni mama mbunifu na mjasiria mali kwelikweli.Matatizo niliyoshuhudia mwenyewe ni matatizo ya kiutawala tu na hasa pale shuleni kwake Mbagala St'Marys School,Utawala wa pale unanitia wasiwasi kwa...
Poleni sana mlioandika waraka huu!!!,Unajua tumeuzoea usemi usemao "Wanao kaa pamoja ndio wanaojuana,kama si kwa lugha basi kwa matendo hata kwa ishara tuu.
Ukisoma waraka huu kama wewe ni mkristo utajua wazi kwamba waraka huu umeandikwa na mtu asiye mkristo yaani aidha mpagani au dini...
Hili ndio tatizo la baadhi ya watanzania na hasa ambao ustaarabu kwao ziro!,maendeleo ya wenzao kwao shida,hii ni hatari sana!!.
Elimu ya darasani haina maana ndio kuukata katika maisha!!!.
Hili ndio tatizo la Mtanzania,mwenzako anaanzisha kitu kwa faida ya watanzania wewe unaanza kumpekua badala ya kumpongeza,ni upotofu wa akili ati kumchambua mtu hata kwenye spelling,this is not fair at all!,kwani unasahihisha mitihani hiyo?.
Kufanya kosa sio kosa ila kurudia kosa ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.