Search results

  1. kichwa kikubwa

    Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

    Saizi siyo mzito tena, ni mwepesi kichwani. Akalime mawese Kigoma, siasa aachane nazo.
  2. kichwa kikubwa

    Kwanini umeme unazidi kukatika ikiwa tumeambiwa Megawatt 235 tayari zimeingizwa kwenye grid ya Taifa?

    Danganyika Republic. Mwanasiasa akikwambia "Usiku mwema", kabla ya kuitikia inabidi utazame juu kama Kweli ni Usiku.
  3. kichwa kikubwa

    Tupeane maujanja ya Excel

    Pongezi Kwa mleta mada.
  4. kichwa kikubwa

    Wajamaa mnisaidie, hivi Nyerere aliwezaje kuvumilia haya?

    Uzuri wanaotaka kumtunuku UTAKATIFU ni wasomi zaidi yako, wanayajua mengi (ya Nyerere) zaidi yako; aidha Kwa maslahi yao au maslahi ya wengi (ukiwemo wewe). Deal likitimia nafikiri utaendelea na huzuni zako mpaka uugue shinikizo la damu. Navyosema una chuki binafsi ni Kwa sababu kinacho umiza...
  5. kichwa kikubwa

    Wajamaa mnisaidie, hivi Nyerere aliwezaje kuvumilia haya?

    Chuki binafsi dhidi ya Nyerere ndiyo ninayoiona hapa. Mleta mada ana kihoro na Nyerere (na pia masalia ya Nyerere): aidha ulishafanyiwa figisu na Nyerere katika madaraka yako au masalia ya Sasa ya Nyerere ndiyo yamekulalua haswa kiasi Cha kuanzisha Uzi kama personal attacks Kwa muhusika/wahusika.
  6. kichwa kikubwa

    Nini kinafanya Marekani kuwa imara?

    Ahaa. Mmesahau ya Iraq?
  7. kichwa kikubwa

    Rais Samia yupo Afrika Kusini, kapotezea kumbukizi ya Hayati Magufuli?

    Dikteta uchwala hana sifa za kukumbukwa. Tanzania ni kubwa kuliko Dikteta wa "mchongo", kamwe hawezi kutupotezea muda wetu wa kuendelea kumkumbuka Kwa maovu yake.
  8. kichwa kikubwa

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    Dikteta uchwala, hatunaye tena.
Back
Top Bottom