Yeye anawahi asubuhi Sana zile siku za maandamano..Hana la maana zaidi ya kupanga kutukana uhuru kila siku na kutuma watu wakaharibu Mali za uhuru...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umeona hizo nguo hapo chini huyo anauza elfu kumi na Tano kila moja (15,000). Ukienda machimbo ya karume na ilala hizo nguo ni Tsh 2,000 ,2500 ikizidi Sana 3,000..imagine badala kupata nguo sita unapata huku mtaani nguo moja ..majakets wanauza mtaani 20,000 Hadi 30,000 kule ni sh 5,000 tu...
Niko platform Moja ya mazoezi inajumuisha nchi nyingi Sana duniani....wanawake wengi wa mataifa kama south Africa , Kenya, ulaya na america yaani wana socialize vizuri Sana...ukija wabongo Sasa kwanza ni fully kichefuchefu kwanza wanaringa , hawako social kabisa na wanajudge watu Sana kwa...
Mabinti wengi hawana sifa ya kuolewa .. shughuli Yao kubwa ni kudanga....udangaji unafanywa na mabinti wa aina na rika zote ...Kuna siku moja asubuhi nilikuwa na kazi ya kitaaluma lodge Fulani ..so nlishinda kuanzia asubuhi Hadi jioni Kwa siku kadhaa ...kitu nilichokiona nkaacha kuamini wanawake...
Sio wanawake wa kizazi hiki ...wengi ni makauzu hatari....hakuna Cha kujishtukia hata chembe ....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rutto asijifanye jeuri itamtokea puani...odinga is powerful...wiki ijayo maandamano yakiwa huru bila polisi kuzuia itakuwa ni maandamano makubwa kutokea Africa mashariki
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hivi ilo gofu hapo near posta office or ppf tower kulikoni ...maana miaka nenda Rudi liko ivo ivo ..hata mwekezaji hakuna au kuna mgogoro?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ni kweli juu yake yaliyosemwa na Rose mhando basi huyu jamaa ni ibilisi aliyejificha kwenye dini....huwezi ukawa unafanya uovu namna Ile halafu unaandaa tamasha la dini...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hivi huwa najiuliza njia ya mwendo Kasi kutoka kimara Hadi mbezi mwisho huwa inashinda gani kuanza kutumika.maana zaidi ya miaka miwili Iko ivo vo...naona imejaa michanga, nyasi zimeota na Kuna sehemu zingine ni kama dampo kabisa.....SHIDA NINI HASA HAIJANZA KUTUMIKA?
Sent from my Infinix X657...
Nenda Yale maduka ya vifaa vya umeme pale near narungombe uliza duka la kitenge hapo utapata products za tronics Bei nafuu kabisa za jumla..
Achana na mambo ya Facebook na Instagram Kwa mizigo ya jumla... seriously seller hawanaga mpango wa kuwa huko...
Serikali ya Kenya Bora ingeacha waandamane kwa Amani...saiv ni fully battle polisi na raia...naangalia hapa citizen kibao kimegeuka polisi Kuna mahali wamechezea kichapo Cha mbwa Koko ...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Miracle op alibebwa sana na khosi
Nana alibebwa sana na Thabana
Blue eiva alibebwa sana kanaga..
So..ukiangalia views wengi wanawapenda sana Khosi , Thabana na kanaga...naukakika watabaki Hadi final ila naona hawatashinda...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Labda yule demu white mnigeria...ukiangalia maoni ya watazamaji khosi, kanaga na Thabana hao wasingetoka maana views wengi wanawakubali sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukiangalia big brother hii wanaotoka saiv hawakuwa compitant ila walibebwa toka mwanzo na wenzao waliokuwa couple/team
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Amekuwa na kisirani almost the week fully bad mood and harsh kuanzia challenge, kwa big Hadi Kwa wenzie..Bora alivotoka ...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.