mimi nadhani haya maoni yanayotolewa na watu wengi kuhusu HOSEA ule ujuaji tu wa watu ambao maranyingi wao huwa wanangojea mtu fulani akosee ndo wapate la kuongea maana ukweli hapo uko wazi kabisa ....pole kaka HOSEA lakini komaa tu na hawa wabongo maana wana njaa hao....!
mi nadhani tumnunulie kitabu tumnunulia biblia takatifu pamoja na quran tukufu nadhani mjomba akivisoma mara kwa mara ataweza kupata huruma na mateso wayapatayo watanzania hasa wale wa kule north mara
mi nadhani tumnunulie kitabu tumnunulia biblia takatifu pamoja na quran tukufu nadhani mjomba akivisoma mara kwa mara ataweza kupata huruma na mateso wayapatayo watanzania hasa wale wa kule north mara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.