Kwanini itolewe adhabu ambayo inawafanya wengine ndiyo wajifunze kama kweli kuna kujifunza badala ya mkosaji? Kwani yeye hastahili tena nafasi ya kujutia na kujirekebisha? N kama adhabu hiyo inawafanya wengine wajifunze mbona yeye hakujifunza kabla? kwani hakuna walio wahi kuadhibiwa kwa adhabu...
Binafsi SIWEZI kushangaa wewe kuwa na maoni tofauti na ya kwangu maana natambua kila mtu ana utashi na fikra huru juu ya jambo au mtazamo fulani. Soma tena ulichokiandika kisha ukizidishe japo mara tano tu alafu ujiulize kwa mtindo huwa itakuwa inazalishwa jamii ya watu gani?
Kuhusu maoni yangu...
Adhabu hii ya kunyonga hadi kufa ni kiashiria kingine cha kupuuza utu wa mtu wala si kwamba inawafanya wahukumiwa kujutia makosa yao au waliobaki kuogopa kutenda makosa kama hayo.... Na ndiyo maana bado tunaendelea kusikia visa vya mtu kutekeleza mauaji ya watu kadhaa kwa sababu za kipumbavu...
Siku zote ukiwa mbaguzi utatizama kila jambo kibaguzibaguzi tu!. Na usipoona viashiria vya ubaguzi kwa kuwa wewe mwenyewe ni mbaguzi, basi vile vimelea vya ubaguzi vinaweza kukusukuma Katika kujibagua.
Husein Bashe ni mbunge wa kuchaguliwa. Na Goodluck ni wa KUCHAGULISHWA. tofauti zao zinaanzia hapo na kamwe hawawezi kulingana na wala hawastahili kulinganishwa.
Binafsi ntakuwa mtu wa mwisho kuamini kwamba huu haukuwa mpango mkakati wa Kituo kupitia kwa uongozi wake. Na hii inaweza kuwa ni ishara tosha kukujulisha kuwa Kituo hiki kinatumika vibaya na kundi la watu wachache Wenye malengo yao maalumu
Huo utimamu wa akili unao uzungumzia wewe unapimwa kwa misingi ipi hasa!?
Yaani Unaona mtu aliyejitolea kufichua uovu siyo timamu kiakili kweli!!?
You can't be serious. Na Kama walichofanya kilikuwa sahihi Mbona walikimbia na kuondoka shuleni hapo!?
Waalimu katiri kiasi hicho unategemea...
Sasa wewe ulitaka ifichwe ili iwe nini na kwa faida gani hasa!? Huyu alikerwa na uhuni ule na akachukua hatua wewe unatetea!? Au ulitaka awe Kama yule Mwalimu aliyetoa ushahidi wa kuwa alikuwa akipewa pesa ili awapeleke watoto wadogo wanafunzi wake kwa watuhumiwa wa kesi ya urawiti na...
Watu wengi na viongozi wao huwa wanaongea kwa mihemuko Juu ya mambo wasiyoyajua wala kuyafanyia utafiti. Bhackresa na makampuni mengine mengi ya watanzania wazalendo waliitwa wakwepa kodi kipindi kile cha taharifa ya sakata la upotevu makontena bandarini. Mamlaka ya Bandari TPA walitaka...
Walianza kwa kufanyia assessment kwao huku wanakuja na release wanaona haitoshi,wakaweka utofauti kwenye cargo transportation bado hawakutosheka sasa wanataka waje kufungua office zao hukuhuku!? Hii sasa inareflect kile kisa cha tembo na ifadhi ya mvua
Tatizo linaanzia pale waleta hayo yanayoitwa maendeleo na wajenzi wa hiyo miradi ya maendeleo wanapotumia miradi Husika kama kivuli cha kuvushia migao yao. Mtu anaingia mkataba wa kuifilisi nchi alafu nchi anayotoka mwekezaji huyo inatoza Mkopo kwa ajili ya kuwajengea uwanja wa ndege wa kisasa...
Kubuni tukio ili kujenga hoja Si tabia ya kiungwana. Hiyo vat unayosema umeanza kutozwa toka July2015 ipi!? Na ni kwa mzigo wa transit!? Au unacheza mdundo tu bila kujua mashairi yanamaanisha nini!?
Huo ufafanuzi wa kwamba mzigo Ukiisha kuvuka Mwenye Mali atadai kodi aliyoitoa unautoa wewe Au!?? Maana kwenye sheria ya makusanyo Yaani bajeti halijazungumzwa hivyo Au kuna yaliyoachwa ili kuja kuyatolea ufafanuzi
Hivi visingizio vya kukwepa kujibu hoja kwa Kudai watu wanatumiwa ni vya kizembe. Kama tunahitaji kuongeza mapato ya bandari tubadilishe tariffs na rates tu siyo kutoza VAT tunachafua na kufukuza Wateja. Alafu hata hivyo Si kwa kustukizana namna hii. Ndani ya siku tatu tu umeanza kutoza kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.