Habari wadau
Mimi leo naomba tujiulize kwa pamoja hivi raia wanateseka kwa usafiri monopoly wa mwendo kasi ni kwa faida ya nani ,magari yaliyopo yanamudu kuchukua abiria wachache kwenye vituo vikubwa kama vile mbezi mwisho na kimara mwisho ,kwingineko mtu unakaa kituoni masaa matatu ,unachoona...
Habari viongozi
Nashauri mtafute njia mbadala ya kuwasaidia abiria wa vituo hivi vya katikati kama bucha baruti kona na baruti maana unakuta mtu anakaa kituoni masaa mawili hadi aanamua kutoka kwenda kutafuta njia nyingine na nauli hairudi hili mliangalie
Kingine cha kusikitisha magari sasa...
Ushauri kwenu wakubwa ,ikiwezekana muwaambie wananchi baadhi ya vituo asubuhi muda fulani hadi muda fulani havitakuwa na huduma ,mmejimilikisha huduma ambayo kuna muda hamuwezi kukidhi mahitaji ya wateja hii sio sawa, inafika hatua mtu anakaa kituoni hadi anaamua kutoka kwenye kituo ili aokoe...
Mwanadam hasikii asichoelewa ndio maana wewe unaona ni lifestyle mbaya wao wanaona ni ujanja ,kama vile wachawi wewe utaona ni ujinga kuacha mambo yako ukaanze kuroga watu ila wachawi wao wanaona kwao ni ujanja na wanaenjoi tu, maisha ndivyo yalivyo .
Mshana jr
Upo Sahihi japo ni ngumu kuthibitisha kwasababu sayansi ya kiimani inahitaji jicho la tatu kuthibitisha jambo ambalo ni gumu kwa kuwa hilo jicho la tatu lenyewe huwezi kulithibitisha, lakini kuna ukweli nadhani 70% katika unachosema , mfano ni pale unaposema mke na mume ni mwili mmoja...
Uwazi kama huu na hatua kali zikichukuliwa ikawa fundisho tunaweza kupiga walau hatua moja mbele maana tumechezewa vyakutosha
Sisi tunahitaji viongozi wasio na huruma wala haya(aibu) na majizi kama haya MUNGU IBARIKI TANZANIA ,MUNGU WABARIKI VIONGOZI WOTE WAADILIFU
Uwezo Wa mwanafunzi na uwezo Wa chuo wakati mwingine ni vitu tofauti unaweza soma chuo chenye sifa kubwa lakini uwezo wako ukawa Mdogo kuliko aliyesomea chuo cha kawaida tumeshuhudia katika mazingira ya kawaida tu msomi anaishindwa kazi anakuja kuifanya mtu ambae elimu yake ni ya kawaida sana
Tatizo letu Kwa huku kimara Baruti hadi kilungule kumekuwa na tatizo la low voltage Kwa miaka mingi sana kiasi kwamba wakati mwingine nyakati za jioni utakuta nyumba yako haina Umeme jirani yako unawaka nyumba tatu unawaka nyingine hauwaki ni shida sana kama kweli mnajali wateja wenu tatueni...
Kusema kweli Tanesco mpo kwasababu hamna mpinzani lakini kungekuwepo na hata kijikampuni kidogo kikatoa huduma nzuri Tanesco ingefutika Mwenye uso Wa dunia yaani mnachukiza kama aanavyochukiza ibilisi
Inahuzunisha Sana mimi nikiwa Mteja tena wa miaka mingi nipo gizani leo siku ya tatu tena hapahapa mjini dar ,ninashida Mita yangu imetemper wakati naingiza token, sipati picha shida hii uipate kijijini nadhani utasahau na umeme wenyewe,naomba Sana tanesco hata kama hamna mshindani muwajali...
Habari wadau na watumishi Wa Tanesco
Mimi ni mkazi wa baruti maeneo ya daraja la bajaji kuelekea kilungule njia ya umeme inayoanzia pale baruti hadi kilungule kila Siku inamatatizo ya low voltage kisha umeme kukatika na kurudi inaweza chukua hata siku mbili tupo gizani . Sasa mimi nina maswali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.