Habari jamani naomba ufafanuzi wa hizo gari kwa ajili ya kwenda kazini na kurudi sehemu za mijini napia kwa safari za kutoka DAR mpaka mbeya hipi ni nzuri na na imara zaidi. KARIBUNI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.