Habari wapendwa wana jamvi LA jf!
Kuna watu wanashangaa sana kuona MTU anatafuta mwenza jf!
Sijaju ni kwanini wanabeza kuwa mwenza wa jf ni mwenza kama wenza wengine tu unaoweza kukutananao kanisani, kisimani,sokoni nk.
Hivyo basi napenda kuwahusia wale wanaotukandia sisi tuliojipatia wenza hapa...
Ooooo! Kishindo! Ooooo miundombinu kumbe watu wanamaliza msosi jikoni wanaleta kiduchu mezani na kutufanya ndondocha eti tuvumilie IPO siku .......tutakula mema ya nchi ........
Uzuri no kwamba Mungu yupo juu ya vyote.
Nilimpata Mke wangu kwenye platform hii! Lakini amekuwa pasua kichwa mno
Akikosa inabidi nimwombe msamaha
Leo nimekuta chati ndefu ya kimahaba na mwanaume mwingine whatsapp. Nimemwomba simu yake kazingua. Nikaamua kumnyang'anya na kuisoma. Amenimind noma
Nafanyaje sasa. Kwani hataki...
Mimi nilijipatia Mke humu tena ni material since 2014 now tuna kid of 3 year.Wa humu ndo haohao tunapishananao kitaa
Tofauti ni area if incidence tu !!! Tia bidii utampata!
Aluta continua!!!!!
Muombeee apate mume mwema na afike salama! Wewe si mwanaume lijali
Inawezekana huyo mtoto si mzuri sana kwani hayo mambo ni automatic kama anyonyavyo baada ya kuzaliwa tu bila tuition
2004 baada ya kuwa bored na mauli wa kitabu mzee alisimama
Nilipomshika nikajisikia ashiki Kali
Nadhani chumba nilichokuwa nasomea kilikuwa na pepo mchafu aliyeniambi nijaribu kujichua
Kwani baada ya hapo ni majanga tu
Kila siku napanga kuacha kesho
Habari za wakati wana jamvi!
Ninalo langu swali la kutaka kujua taratibu za mikopo kutoka taasisi za fedha.
Nimewahi kukopa katika bank moja na bado ninalipa mkopo
Niliwahi kusikia kuwa kuna issue ya kutop-up lakini sharti kuwe kuna ongezeko la mshahara kama ni Mfanyakazi.
Kwa hali ya sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.