Nikiwa kama mshabiki wa simba nawapa pole wote mnaoshindwa kununua tiketi za Jumapili, msiwe na wasiwasi ikifika Jumatatu wahusika watarudisha system yao vizuri
Mwaka jana walifanikiwa ku frustrate wanunuzi wa tiketi na mwaka huu bado siku mbili jamaa wanaupiga mwingi sana hadi sasa huku kina...
Issue ya kuzuia wachezji wa 3 wa first eleven ya wa nigeria kumjeruhi afisa habari wao na kuzuia viongozi wao wawili haiwezi kupita hivi hivi sababu usitarajie kitenge,priva,mwanaspoti waripoti.
Kesho tarajia update ya kesi ya morriosn kitenge atakuambia kibuuuyu kinalia eeheee unasemaajeee...
Kiukweli utakuwa mnafiki sana kuwalaumu wasomaji wa gazeti la Mwanaspoti na wasikilizaji wa Efm ambao hadi leo najiuliza wana akili gani za matope kudhani Maulidi ni mtu sahihi wa kuwa anchor wa kipindi chao wakati mwanadada mrembo Tunu Hassan alikuwa anafanya kazi inayoridhisha
Anyway labda ni...
Yes msemaji wao alipigwa na kitu kisichojulikana na wachezaji wao watano wa kikosi cha kwanza walikutwa na corona masaa mawili kabla ya mechi ingawa siku tatu zilizopita walipimwa mara mbili na kukutwa NEGATIVE.
WAPOPO wameahidi REVENGE ya kutisha huko river state kwamba utopolo players kumi...
Kwanza hongera,show ya mtwara wewe ndiye ulikuwa star,ndugu yetu aliiingia akiwa amelewa kabisaaa mapombe sijui ecstacy anajua mwenyewe kaka ulivyoimba nyimbo za lucky dube kwanza hongera ulini suprise kwa ulivyojitahidi kuimbakiingereza,najua ulimeza maneno na background yako ya maisha...
Watu baadhi wanashangilia polisi wakiuawa on duty, sasa iwekwe sheria ya kulazimisha watu kuwasifu wanapofanya kazi nzuri kwa mfano jana huko Kigoma walipozuia yale majangili yaliyotaka kupora ardhi ya mwekezaji mwema
hivi TCRA mlikuwepo wapi wakati polisi Singida walipotoa idea ya kum ban Tundu...
Rais ametoa agizo ya kwamba uzazi wa mpango usifuatwe,wazazi wafyatue tu sasa tunatarajia wahusika wa wizara ya afya kusimamisha mara moja vi NGO mara sijui family planning sijui nyota ya kijani vinavyodanganya watanzania wasizaliane,fungia hivyo vitamzuia Rais kutimiza malengo yake.
Jamaa wa Aggrey and Clifford wamesainisha mastaa 40 wa bongo kupromote app yao ya binary na na madai yao hiyo inawapa uhakika wa kuwafikia watu milioni 30,REALLY?
Ina maana hawajui ukiona huyu ana followers milioni 2,yule 1 yule laki 8 unadhani ni watu tofauti? Ni walewale tu tena na wengine...
Eti bwana Lyatonga kampa makonda siku 7 ajieleze kwanini bodaboda zinaingia town kati ni kweli? Kama kweli hakika hii sinema nia ya kiwango cha hollywood cheo cha parole kimemchanganya basi.
Amini usiamini siri ya mafanikio ya le akili kubwazz imejulikana leo baada ya kupost picha kiwa ze dodomaz katika harakati za kumkabidhiz chamaz Mr Pombe.
Ni kidoti kilichopo unyayoni ambacho wataalamu wa elimu nyota wanakuambia ni alama ya magenius yaani akili kubwaaz.
Hali hiyo iliwafanya ma...
Zipo ripoti za watu fulani wakipita sehemu mida flani na wakikukuta upo na chupa ya maji au soda kama krest au sprite wananusa eti kama umeweka konyagi
wengine wanavamia gesti eti wanasaka mashoga, ukikutwa na mwanamke mnaulizwa cheti cha ndoa..
Hivi hamjui kuna watu wanaishi na wenza wao na...
kwako wewe lemutuz akili ndogoz ambaye uzalendo ni pale kunapikuwa na mazuri ya ndomo tu..shame on you wote mnaoponda msichoelewa
Alikiba Becomes the Second African Artist to Sign a Global Music Deal With Sony Music
haya soma kitu cha source magazines na sio kiblog chako kilichojaa posts za...
Inasmekana alimbaka mdada wakibongo aishie sweden anaitwa Deborah
ukiingia insta page ya dougiemasta20 utaona hadio ushahidi wa police report na inasemekana sweden embassy ya tz washataarifiwa
Wadaku wanadai Rommy Jones hakumaliza ziara ya chibu chibude huko ulaya kwani alikimbia soo na chat sms...
Ni baada ya Mr Makonda kusema mwisho wa kupiga mziki kwenye kumbi za wazi ni saa sita usiku badala ya saa tisa kama ilivozoeleka
hili ni balaa kwa wanamuziki wa Dansi na Taarab, Hapa Kazi Tu
Ombi langu pia kwa mheshimiwa Makonda asisahau na alichoombwa na wabongo movie kuzuia movie za nje...
Nimeona hapa ooh, eti Magufuli kaingia biashara zimedoda? Hivi nyie ni wa nchi gani, niko Mwanza city downtown nauza magazeti na vitabu vya mapenzi vya kina Shigongo huku kwa mbali nikisindikiza na magazines kali kama newsweek ambapo huko utapata nondo kali za ki panama papers.
Kiukweli...
ama kweli binadamu hawana wema,yule dada anayekimbiza huko bongo movie niliyeleta habari ya kwamba kavimbishwa uso na nyuki imegundulika kwamba walikuwa ni nyuki wa uchawi na kwa sasa sura yake imekuwa nyeupe kama chokaa na maumivu anayoyasikia ni makali sana
Please tumuombeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.