Umenikumbusha mbali miaka ya 80 nilikuwa shule hakuna mtu ambaye alikuwa hajui jina la Jombi, hasa kanda za kusini Iringa jina hili ilikuwa story zilizokuwa za kuogopesha vijiweni
Nikikupa wewe elfu tano ni Rushwa? tafusiri ya Rushwa ni kumpa mutu kitu chochote kwa kutegemea kupendelewa na rushwa zipo za aina nyingi.Ndio unaweza kumpa 5000 trafiki ikawa rushwa lakini Raisi hakusema umpe Rushwa isikilize speech ni wapi amesema ummpe Rushwa?Siwezi kwenda back to school...
Nyamakwetu una Dictionary hapo Rushwa ni nini?ukisoma hiyo dictionary nambie ni ipi hasa maana kuna dictionary nyingi na waandishi tofauti.Lakini pia unasema niende shule umesoma mpaka level gani na ulisomea nini .Nilitaka tuu kujua
Nimekuwa nikisoma maada nyingi humu JF na kwenye mitandao ya kijamii kwamba Mtukufu Raisi ameruhusu Rushwa kwa Trafiki: Binafisi nilichokielewa raisi hakuruhusu rushwa bali alikataza:
LUGHA YA PICHA KAMA NILIVYOIELEWA
1)Ukimpa trafiki elfu tano ya kubrashi viatu amekura rushwa na hao...
Mtoa mada wewe kweli ni tatizo na nadhani wewe ndio kilaza,Raisi kasema wale wanaoingia division four nakwenda chuo kikuu moja kwa moja hawakustahili(alitumia lugha yetu ya mtaani vilaza,kwani hawana qulification mpaka wakasome certificate halafu Diploma).Uvilaza wao ni kwamba walikwenda chuo...
Kuacha mke si solution kwa sababu hakuna mwanamke mbaya wala muzuri, Binafisi huwa naamini kabla ya kumuhukumu hebu angalia source ya ugomvi wenu hata ukioa mwingine hiyo source kama ni wewe unatakiwa kuisolve utaingia kwenye matatizo tena.Wakati mwinginme ukifanya ugomvi kwa kujitizama wewe in...
UNAZO switch na Router za CISCO kwa bei nafuu kushinda wauzaji wote hapa mujini.
Tupo new Shamo tower second floor.
0786888824/0717031290 au md@msoft.co.tz
Halo,
we are recruiting business development officer qualification sales and marketing diploma or Degree.
This post is only for those graduated last year or those expecting to graduate this year .
Those with Idea in IT,telecommunication will be given priority,in the mail put your expected salary...
Tunakopesha hadi shilingi millioni tano hii ni kwa wakazi war Dar Tuu,
Bondi Nyumba au Kiwanja
Kwa pesa chini ya Millioni moja unaweza chukua udhamini kwa mwajiri wako (Kama usipolipa Mwajiri atalipa moja kwa moja toka kwenye Mshahara au Mali zako zitataifishwa)
0786888824/0717031290
Kama una eneo la sheri Dar es salaam (Hata kama nyumba mbili au tatu inauzwa na eneo linafaa) Usisite kuwasiliana nasi. Dalali hatakiwi.
Piga: 0786 888 824 / 0717 031 290
Seth alizaliwa Iringa akiwa na ndugu zake watatu ambao wote walisoma Highlands secondary school.Kupata little detail alifikaje Kenya nenda global publishers waliandika historia yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.