Mimi naombea sana Anna Kilango ashindwe kuokoa wafanya kazi wa Legal Dept pale NSSF .Binti kaingia hapa kwa makeke akidai ana MSc toka Uk na wenzake wote wenye LLB ya Tanzania ni wajinga.Ni mgeni kazini hajui kazi lakini dharau kubwa na kujidai yeye mtoto wa Anna Kilango.Baada ya kuingia kwa...
JUGDEMENTS OF AMATUS LIYUMBA
IN THE RESIDENT MAGISTRATES COURT OF DAR ES SALAAM
AT KISUTU
CRIMINAL CASE NO 105 OF 2009
REPUBLIC
VERSUS
AMATUS JOACHIM LIYUMBA
JUDGMENT OF THE COURT
BEFORE : - L.M. MLACHA, PRM B.B. MWINGWA, SRM
AMATUS JOACHIM LIYUMBA, the accused...
wasi wasi wangu ni kwamba sasa mkakati ndiyo huo maana wanaweza wakamwacha rais apokee simu kitu ambacho sijui , na umeme wameanza kuwakatatisha tamaa watu . Na ikitokea watu wakajanza kwenye bar wakajua basi eneo hilo linakuwa giza zaidi .
Kaka as long as wewe ni CCM hakika hata vyeti hawaangalii na hakuna mamlaka inaweza kukugusa . Unamkumbuka Chitalilo na vyeti vya ku foji ? Kesi iliishia wapi ? Na hao mawaziri je kaka ?
Habari kutoka ndani ya Jiji zinasema huyu mkuu wa Mgambo hajawahi kuwa na kosa na ni mwanajeshi mstaafu . Kosa lake ambalo jamaa yenu kaona ni kosa ni Mkuu wa mgambo kuomba barua ya kuitwa mkutanoni mnazi mmoja .Yeye amehoji kuitwa kwa taarifa ya maneno bila ya maandishi .Je bado Barama anataka...
Jamani leo JK anapanda Kilingeni kupima kama anafaa ama hafai .Maana ameona CCM kwisha habari.
Taarifa ni kwamba maeno mengi ya Jiji hayana umeme. Je watarudisha wakati akiwa hewani? Natafuta habari za mikoani pia kujua kama Umeme una shida kama Dar.
Ila naambiwa Arusha ni giza pia na mida...
Katika hali ya kushangaza mkuu wa Mgambo wa Ilala wakiwa katika mkutano pale mnazi mmoja muda mfupi uliopita amemfokea na kumfuza nje Mkuu wa Mgambo wa Ilala kwa madai kwamba mkuu huyo alikataa kuitika wito wa mkuano kwa maneno akitaka maandiko ya kuonyesha kuna mkutano na DC na Mkurugenzi wa...
JK alisema atakula nao na amesha anza sasa .Kuna shida hapa .Miaka 30 kwa ajali ya gari si sahihi.Dereva wa Mwakyembe hivi kesha fungwa ?
Yule wa Chacha Wangwe kafungwa miaka mingapi ?Hukumu hii ina siasa ndani yake na uchaguzi huu kuna matatizo makubwa sana .
Mheshimiwa kesha pewa sifa huko anako temblea kila mara hana shida na Watanzania tena kusambaratika .Yuko kimya anapanga safari ijayo aende wapi maana bado anajitambulisha kwa Dunia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.