Wako watu wanao tia pass na ku sahau so ikioelekwa kwa fundi lazima ipigwe nyundo pia zipo simu ambazo zikiwa zinawaka zinaishia kwenye logo so hapo lazima ipigwe nyundo pia zipo ambazo network zinazingua ki ufupi tuwaache wenye kazi zao
Ngoja nikwambue tu iyo disk health itakua imesha shuka
Cha kufanya intall software inayo itwa hard disk essential angalia health na perfomanc ya iyo disk afu uje unimbie
Copy vtu vyako faster mana disk hako soon inakufa na ndo utakua ushapoteza kila kitu
Itoe kwenye computer mana uwez...
Wakuu yangu ni LG imepoteza ile qualit ya mwanzo yani tv ilikua ukiangalia movies au chochote kile kioo kilikua kinang'aa ila saiv imefifia tatzo hapo linaweza kua nn
Msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.