Mbali na kuwa zinajaa sana siku za sikukuu...kuna kitu nimegundua yani mh dunia hii
Nyingine eti zinamatundu ili kupiga chabo...sasa ngoma iko hivi! Hata kupiga chabo pia unalipia eti sh 500, yani unafika pale unamwona mhusika unatoa jero mzee unapelekwa kwenye tundu...na ukumbuke huku pia kuna...
aAnother one gone..sasa kabaki Mugabe nae ndo hivyo uzee unamkaba! kiongozi ambaye anaweza akasimama na akatetea Africa na watu wakamuelewa..waliobaki sasa ndio hao tukiletewa vyandarua tu watu wanapewa migodi wanachimba na kusaza.
Waliokuwa wanajitetea na mafuta yao katika Afrika ndio hivyo...
A Malawi newspaper the Nyasa Times is reporting that a man died in the commercial city of Blantyre after engaging "himself beyond the limit of sexual frenzy." Fletcher Jere died ‘riding' a commercial sex worker because of "too much sweetness" in the densely inhabited township of Ndirande...
Nimesikitishwa na story ya kwenye gazeti la habar leo "mwanafunzi mgonjwa abakwa, afa" huku taarifa zaidi zinasema alikua mgonjwa wa moyo na alifariki dunia muda mfupi baada ya kufikishwa hospitali ya mkoa wa Rukwa. huyu mwanafunzi alibakwa na genge la watu wasiofahamika huku wakifanya hivyo kwa...
i hope mko poa jamani!
Ukijaribu kuangalia zamani kidogo na sasa hivi hapa katika Mahusiano, mapenzi,urafiki kumebadilika na kunazidi kubadilika.
kwakweli mambo yanazidi kuwa magumu, ukiingia huku mambo mengi sasa ni tofauti unaweza kudhani sio sehemu ya mahusiano,mapenzi, na urafiki.
jamani...
Habari za weekend wana JF
Kuna hili suala la sitaki nataka hasa kwa wanawake..yani mtu unaweza kujikuta unatongoza karibu mwaka mzima mtu hata haeleweki.
Sasa nashindwa kuelewa sijui ndio fashen ama vp..unakutana na mrembo unamueleza shida yako halafu mkikutana siku nyingine anataka uanze...
Habari wandugu..
Mwenzenu smtimz kuna mambo huwa hayaingii akilini..hizi ofisi za vibosile zilizo na kila kitu mpaka self contained room za nini? Zile two hrs za kwenda lunch ndio unaona eti mgeni kaja kumuona mkuu..ngoma fasta fasta ndio mtindo
weekend njema wakuu
Nimetoka kwenye hospitali moja for CT Scan..
Nikaambiwa niingie ktk chumba kimoja hivi kwa ajili ya kupimwa..akaingia nesi mmoja yani nashkuru nimetoka salama kwakweli na hata yale maumivu niliyokua nikiskia yamepotea kabisa! mwe..hata kwa wagonjwa
Kuna sehemu nilisoma maneno flani hivi mapenzi siku hizi ni kama magazeti
Haya maneno humanisha jinsi gani gazeti linavyotumika, sijui linaweza kusomwa na watu wangapi kwa siku. Lakini mwisho wa siku linakwisha kabisa na kupotelea mbali.
Kwa upande mwingine mwenzenu kwa ule ukweli...
I hope mnaendelea vizuri wana JF
Jamani hivi hii staili ya kujirekodi video huku mkiwa kwenye 6 kwa 6 inaleta ladha gani? sijui pale mnapoamua kuangalia ile video na kuona jinsi mlivyokua mnapeana mambo au la,
Issue kama hizi zimekua zikitokea sana katika nchizi zilizoendelea hasa marekani...
I hope mnaendelea vizuri wana JF
Mwenzenu nafikiria niondokaje leo hapa ofisini..jana jioni wakati natoka bosi wangu aliniomba lifti na alipoingia akaniambia leo lazima nikamuoneshe nyumbani kwangu, ofcz alikua anaongea kama ni utani flani nami nikajua ndio ivo
kumbe bana alimaanisha, mama wa...
Mtoto wa miaka tisa kajifungua mtoto huko mbalizi mkoani Mbeya.
Alipewa mimba na kaka yake (mtoto wa mama yake mkubwa) mwenye umri wa miaka 18, ambaye alikua akimtishia kwa kisu ili afanye nae mapenzi
Mtoto huyo alipogundulika na mimba mama yake alimficha ndani kwa miezi saba ili watu wasimuone...
i hope wote mambo yako fine! naulizia ni dawa gani nzuri ya UTI, na kama kuna anaejua linapopatikana tunda linaloitwa (cranberry) nimesikia ni zuri kusafisha kibofu
Chelsea midfielder Frank Lampard has been selected as the Premier League's Player of the Decade, by facts and figures' wizards Opta.
Opta, who studied every Premier League game since January 2000, declared that Lampard has played in more most games, most wins to his name, second-most number of...
kwanza naomba niwatakie heri ya mwaka mpya! then nitoe angalizo kwa wale wanaopenda sana kufanya mapenzi siku za "sikukuu"
jamani hii mikesha huwa ni ya kheri au balaa!! kuanzia gesti ndipo kiini kinapoanzia, ni kelele tu za watu kumegana, zingine mpaka vitanda hutoa kelele za ajabu ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.