Hata kama unasafir kwa sababu binafsi na gharama binafsi, ni lazima kuomba kibali cha kusafiri kwa karibu mkuu kiongozi. Huu ni utaratibu wa siku nyingi kwa watumishi wa umma woote
Hata Kristo alipoliliwa msalabani alisema enyi wanawake msinililie mimi... Sasa ninyi mbona mwahangaika sana na huyu nabiii wenu? Unabii wake hautategemea idadi ya wanaokiri kumfuata bali kibali cha Mwenyezi Mungu aliye mkuu wa mbingu na dunia
Kesho uandike kama mwandishi wa habari ninaona tu prifesa ngoma. Hivi hujui mtu anatambuliwa kwa angalau majina mawili?. Sasa ngoma ni jina la ukooo. Na ngoma maprofesa wapo wengi huyu profesa ngoma wako anajina moja tuu?
Afadhari umesema.. Maana watu wanalishana sumu hapa! Eti nakwenda mbinga zaid ya km 1000, so kama zaid ya km 1000 ndo uendeshe unavyotaka? Kila siku tunalia ajali tena nyingi za hizi ajali niza kusababishwa na ujuaji wa kupindukia tuwapo barabarani
Afadhali umemjibu.. Naona anakiu kueleza ameishi ulaya..... ..sale ya ulaya huonyehsa bei ya mwanzo na bei ya kuuza sasa. Bongo hujui mwanzo ilikua ngapi bali unapewa ya sasa.. So wizi huoo...
Maelezo marefu sana lakini umeshindwa kusema kuvaa vibaya ni kwa namna gani na kuvaa vizuri ni kwa namna gani.hao unao wasema wakisoma hii ushauri wako watajua wanakosea nini na waboreshe nini?
The technology doesn't work this way! The technology is absolutely excellent! .but the ethics of our personnel is always at diminishing faith and hope.they have turned to be supporters and escorters to these potential killers of our future generation.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.