mkuu big up sana umejibu hoja kisomi ikizingatia ushahidi hai na siyo wengine wanaleta mambo ya kitoto na ushabiki hao ni wanafiki na huu ni udhadiki kabisa hawapendi maendeleo ya watu
Nadhani hapa sheria mpya ya kazi haikuwa implemented haiwezekani mfanyakazi ajieleze kwa barua then unamfukuza ndani ya siku nne!nadhani idara ya rasilimali watu hapo clouds imeshindwa kazi au imekufa kabisa,namshauri masoud aende CMA kufile kesi maana kama hayo maelezo hapo ni ya kweli moja kwa...
mkuu ni kweli kabisa kwani luhanjo anawateua hao watendaji wakuu wa taasisi za umma?kama mtu ni mchapa kazi pia anasifa na ujuzi unaotakiwa acha apewe nafasi awatumikie watz
pia unaweza toka nje kutafuta faraja matokeo yake matatizo yakizidi zaidi ya mumeo cha msingi mkabidhi mungu maisha yenu na ndoa yenu kwa imani utaona unapata amani na furaha ya ndoa
Mkuu hakuna cha mungu yupo hama hayupo mungu siku zote yupo,kubali kushindwa cha msindi cdm jipange vyema l
kisera mbele ya wananchi na si kulalamika hovyo bila sababu za msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.