WanaJF wale watakaofanya jambo au tukio muhimu la kuweka kumbukumbu kama harusi, kuoa au kuolewa,kupata mtoto, atakaepata mchumba, kuachwa au kuacha...matukio yoote ya furaha na huzuni wasiache kutujuza
WanaJF leo ni siku ya wajinga jinga hivyo kuweni makini na ujumbe wowote au taarifa yeyote utakazopewa..usikurupuke na kuzifanyia kazi bile kupata uhakika na ukweli wa jambo/tukio/taarifa au ujumbe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.