Umeona signature yake.....hii itakuwa ni mbinu ya kuwaweka mbali wale wanyakuzi. Huyo nyeusi 20 inaonekana ni mtu mwenye Fweza, na ni kiwembe haswa, sasa Dajane anahofikia jambo, Au yeye mwenyewe ni mhanga pia maana huwezi kuwa na nyraka muhimu hivyo binafsi bila kuwa karibu na mwenyehizo...
Sawa sawa. Kuna ile dhana kwamba msimu wa mvua hasa masika sio kipindi kizuri cha kuchimba msingi wa Nyumba. Nadhani ni mafundi tuu wanakuwa wanakwepa kuchota maji kwenye msingi endapo utajaa maji. Ile kimtazamo ni muda mzuri maana hutahitaji kumwaga maji na pia cement itakauka taratibu na kuwa...
Huu ni utani na kuwadhalilisha dada zetu. Labda iwe ni photoshop na sio kweli Mamlaka zinazohusika zimetoa baraka kwa mdhamini kutoa gari yenye hali hiyo.
Dah! Mkalisheni chini, mpeni kero zenu kama ni mtu muelewa ataacha hiyo tabia. Lakini wakati mnamweleza mjiandae kuulizia vyumba sehemu zingine, ili akiwatimua iwe msiumize kichwa
Yaani umevunja ndoa mbili unashangilia na una amani kabisaa. Subiri na wewe utafanyiwa hicho hicho ulichokifanya. Ni zinaa tuu hiyo kwa nyie wote wawili huyo mwanaume na wewe. Hiyo dhambi itawatafuna taratibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.