Muongo mkubwa gamba wewe mimi ni mmoja wa waliompigia kura Selasini na cjapewa rushwabali nimependa utendaji wake refer serikali za mitaa.Pia hao wanaccm wanaoshangilia siwaoni su wewe upo rombo ipi?
mwaka huu hakuna rangi ambayo ccm wataacha kuiona.mimi npo dodoma kibiashara kwa hali ilivyo mwaka huu kwa mara ya kwanza chadema inaenda kutoa mbunge wa upinzani mana bensoni kigaila ambaye pia ni mtia nia jimbo la dodoma mjini kawapoteza ccm mazima
Mpaka sasa hakuna tangazo lolote lilitolewa kwa kwa wakazi wa dodoma ukizingatia undikishaji unaanza ijumaa 15/5/2015 my take:ccm ata wafanyaje october wanaondoka magogoni
walimu ni maboya ndomana wanapelekeshwa hata wakiambiwa wafundishe wakiwa uchi watafundisha.acha waendelee kukoma siwanajifanya kuchagua ccm.shame on them
Hii ni kutokana na watu kutojua vituo vilipo na wengine hawajui kinachoendelea kutokana na kutopata matangazo kuhusu uandikishwaji source:magazeti ya leo my take;ccm ndo wanachokitaka ndomana wanaandikisha watu kimyakimya lakini pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.