bwana happy ametuangusha ameshindwa kutoa jibu rahisi tu la mantiki ya neno shall kwenye kifungu 25 sub 1 & 2 badala yake anasema vifungu vingi tu vina neno shall. hapa nakubaliana na wale watu wenye akili nyingi wanaoitwa wahenga kuwa kwenye ukweli uongo hujitenga
hii inadhihirisha umaskini upo kwa kiwango kikubwa tu na kupelekea baadhi ya huduma muhimu kukosekana. ila cha kushangaza kwa wale waliopo kwenye nafasi ambao huduma muhimu kwao si tatizo wanawasahau wenzao. pia wale wajanja ambao wanaweza kupata mahitaji muhimu kwa njia yoyote nao huwa...
kwa mtazamo wangu siasa ni nyenzo ya kudanganya wananchi, kuwagawanya, na kuwafanya waamini kuwa matatizo yao yatatatuliwa na baadhi ya watu. tutafakari pamoja, karibuni
hiyo bleach of contract ndo iliyopelekea asione terms vizuri kwani zilifutika, ila kama aliziona terms na kuingia mkataba basi atakua amefanya breach of contract
Inasemekana mwanamke aliyelelewa katika familia ya wazazi wote wawili anapoingia kwenye ndoa anakuwa na ufahamu wa juu kuhusiana na majukumu yake kama mke kwani tokea akiwa mdogo amejifunza hilo kutoka kwa wazazi wake ikilinganishwa na aliyelelewa na mama tu ambaye anakuwa hajapata elimu hiyo ya...
Wakati maombolezo na wasifu wa komredi Madiba vinaendelea nimejifunza jambo moja la msingi ambalo ni msamaha, mipaka yake na mambo ambayo yanasameheka na ambayo katu hayasameheki ( kama vile mfungwa wa mauaji asivyopata msamaha wa rais).
Kwa kifupi ni kwamba mkeo kupigwa nje ni dhambi...
experience ya urais inapatikanaje? ninyi ndo hata kwenye ajira mnataka watu wenye experience bila kujali waliotoka vyuoni watapatia wapi hiyo experience
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.