Ziko namna nyingi nzuri za kuleta message hii lakini sio kwa njia hii. Ni upungufu wa upeo! Ni sawa na wanawake wanataka haki sawa lakini wapewe nafasi za upendeleo. Mimi kama viongozi wote wa nchi hii wangekuwa waislamu nisingekuwa na shida kama wangekuwa kama mzee ruksa!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.