unawajua hao tu machalii ktk harakati sasa kabla ya mjaja hapo kulikuwa na ndunguru mwingine kule udbs alikuwa anapiga bcom finance aisee jamaa aliliwa kichwa na kina masoud na minja kwa ushirikiano mkubwa wa mkandara yani huyu alikuwa mjumbe katika group ya kinaemekha,franci,alishabab n.k....na...
kwasababu ulikuwa mjuaji acha dunia ikufundishe,ningeweza kukusaidia ukapata hilo boom´kwa kuwa wewe ni much know...nenda ukafight kila la heri mdogo wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.