Mimi nilikuwa bachela nikaambiwa niwe nalipia 10,000 badala ya 15,000 wanayolipa wenzangu.
Nilikataa nilisema nitakuwa nalipia kadri ninavyotumia yaani 100 kwa ndoo kwa sababu nikioga asubuhi napotea nikirudi saa 9 natumia maji ya bar kisha narudi kulala tu home usiku saa 3.
Chakula kizuri cha kawaida labda ugali choma ni TZS 4000 ambapo milo miwili ni TZS 8000.
Kipato cha raia wengi wa kawaida ni TZS 4000 hadi 15,000.
Kwa hiyo ni bora ule cha kawaida ili angalau na nyumbani wale.
Namfahamu, anafuga samaki kule karibu na kanisani Mkiu.
Lugarawa kwenyewe nimeenda sana miaka ya nyuma kupeleka abiria kwa baiskeli kabla ya bodaboda hazijaanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.