Search results

  1. chakii

    #COVID19 Chanjo anapewa ambaye hajapata ugonjwa

    Wadau chanjo kitaalam anapewa mtu ambaye hajapata ugonjwa ili iwe kinga kwake. Watanzania wengi sasa COVID-19 ilishapamba moto kutokana na jinsi serikali ya JPM ilivyopuuzia hili jambo. Sitegemei maajabu sana katika hili suala wakati wengi wetu ni asymptomatic (hatuoneshi dalili) lakini...
  2. chakii

    #COVID19 Mbona Serikali imetugawa katika chanjo ya COVID-19?

    Leo katika hotuba ya MH Rais amesikika akisema wameshakubalia taasisi mbalimbali kuagiza chanjo za aina wanayoitaka wao, taasisi mojawapo ni ya Mzee Azim Dewji. Najiuliza mbona suala kama hili la chanjo Serikali inashindwa kuwa na kauli moja ya aina ya chanjo itakayowafaa Watanzania ukizingatia...
  3. chakii

    Mwigulu: Watanzania msikimbie nchi tutarekebisha makosa

    “Wewe Mtanzania usiikimbie nchi yako, tutarekebisha matatizo, lakini kama umepata fursa ya kuwekeza huko, wekeza! Lakini usiikimbie nchi yako kwa sababu ya matatizo”. Waziri Nchemba Pia soma > Mwigulu Nchemba awaambia Watanzania wahamie Burundi wasipoweza kulipa tozo za miamala Source ...
  4. chakii

    Askari wavamia kanisa Mbeya kuwafuata wafuasi wa CHADEMA

    Hili ni Kanisa Katoliki Mwanjelwa Jijini Mbeya. Hao ni Askari wakiwa na defender 3. wameenda kuwaondoa wafuasi wa Chadema wanaodaiwa kuwa wamevaa sare zenye uwiano na za Chadema. Hivi kwani kanisani kuna mavazi maalumu ya kuvaa.?
  5. chakii

    Je, Serikali imeamua kugawana 50/50 tozo za simu na Wamiliki wa mitandao?

    Kutoa 100,000 ilikua 3600 sasa hivi 6,100 Kutoa 200,000 ilikua 5300 sasa hivi 8,240 Kutoa 300,000 ilikua 6500 sasa hivi 10,000 Kutoa 400000 ilikua 7000 sasa hivi 11,100 Kutoa 500,000 ilikua 7500 sasa hivi 12,700 Kutoa 600,000 ilikua 8000 sasa hivi 13,900 Kutoa 700,000 ilikua 8000 sasa...
  6. chakii

    Wanasiasa na ubinafsi wa Katiba mpya

    Habari wanaBodi.. Tumekuwa tuna wanasiasa wanafki na wabinafsi pia sana. Watanzania tuna changamoto nyingi za maisha ya kila siku mbali na suala la KATIBA, Yes Katiba ni muhimu lakini Katiba siyo kila kitu, tunaweza kuwa na Katiba mpya lakini isibadilishe maisha ya raia. Ubinafsi wa Wanasiasa...
  7. chakii

    Ndoa ya binti wa TB Joshua yafungwa Arusha, tarehe 08/05/20202

    Mtoto wa Muhubiri maarufu TB Joshua, Serah Joshua leo anafunga ndoa na Brian Moshi wa Sinoni mkoani Arusha. Picha wakiwa wanatoka katika nyumba ya Mapadri wa Parokia ya Moyo Safi wa Bikira Maria Unga Limited, wakijiandaa kuingia kanisani. Picha na Daniel Sabuni. Mtoto wa TB Joshua, Serah...
  8. chakii

    Makamu wa Rais Dkt. Mpango, kuna Hospitali nyingine zaidi ya Benjamin Mkapa zinazohitaji kusikilizwa changamoto

    Wanabodi... Tunaelewa baada ya Mh Philip Mpango kupitiwa na lile tatizo la Upumuaji na hatimaye akavuka salama baada ya kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma wakati akiwa bado Waziri wa Fedha na Mipango. Ni hakika alishukuru kwa namna wafanyakazi wa Benjamin Mkapa...
  9. chakii

    TANESCO mnamuhujumu Rais Samia, hamtaki tufuatilie hotuba yake

    TANESCO mmeamua kumjaribu Mhe Rais kwa kukata umeme kipindi hiki muhimu kabisa Watanzania tukisubiri kusikia kutoka kwake. Rudisheni umeme tafadhali
  10. chakii

    JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

    “Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabey ---------- Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa...
  11. chakii

    UTEUZI: Rais Samia Suluhu amteua Balozi Hussein A. Kattanga kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Ali ateuliwa kuwa Mbunge

    Rais Samia Hassan amemteua Balozi Hussein Katanga ambaye ni Balozi wa Japan kuwa Katibu Mkuu Kiongozi akichukua nafasi ya Balozi Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge. Rais Samia Suluhu amesema kuwa nafasi ya Balozi Katanga itajazwa baadaye.
  12. chakii

    Hakuna wa kufuata nyayo za Hayati Magufuli

    Kumetokea wimbi la viongozi hasa wanaowinda vyeo serikalini kujinasibu na kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba wapo tayari kufuata nyayo za mwendazake. Kiukweli bila chembe ya unafiki hizo ni hadaa kama zilivyokuwa hadaa za mwendazake. Tukubali kila nyakati zina mambo yake, nasema hivyo kwani...
  13. chakii

    Dkt. Ndugulile bado atatufaa katika Wizara ya Afya, kwenye maji tuletee Jumaa Aweso

    Habari wanaJukwa, Tukiwa bado tuna uhuru wa kutoa maoni na kumshauri kiongozi wetu wa nchi. Pale Wizara ya Afya tunahitaji mtu mwenye uthubutu na kusimamia ethics za tiba. Wakati wa wimbi la kwanza la Covid-19 tuliona namna Dkt Ndugulile aliposimamia kweli bila kujali kuhatarisha wadhifa wake...
  14. chakii

    Rais Samia Suluhu agiza CAG akague Hazina na Wizara zote

    Mh Rais Samia Suluhu Hassan ... Waswahili walisema kufa kufaana! Tunaomba baada ya kumpumzisha aliyekuwa Rais wa JMT , Hayati JPM basi mapema kabisa na kwa haraka muagize mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) afanye ukaguzi wa haraka hazina na katika wizara zote na mamlaka zote zinazohusika...
  15. chakii

    Imefika wakati sasa Rais akipoteza Maisha akiwa madarakani, mrithi awe mshindi wa Pili

    Wakuu, Tukiwa bado kwenye majonzi ya kumpoteza aliyekuwa Rais wa JMT Hayati John Pombe Joseph Magufuli. R.I.P Ifike wakati sasa Rais atakayepoteza maisha akiwa madarakani basi mrithi awe ni kiongozi aliyepigiwa kura na wananchi, either Uchaguzi uitishwe upya na wagombea wajitokeze kuwania...
  16. chakii

    Hafidh Ameir, Tanzania First Gentleman

    Hafidh Ameir, Mume wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alivyowasili Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kunakofanyika shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli, aliyefariki 17 Machi 2021 kwa matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo.
  17. chakii

    Kenya yakataa wanariadha wake kushiriki Kilimanjaro Marathon 2021 ikiwa ni tahadhari dhidi ya Covid-19

    ======== Kenya bans runners from Tanzania’s marathon Athletics body urged athletes not to travel to Tanzania for 2021 Kilimanjaro Marathon because of coronavirus concerns Kenyan athletes will not attend a major marathon in Tanzania because of concerns about the...
Back
Top Bottom