Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Bw. Jack Mugendi Zoka (pichani) kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Canada.
Bw. Zoka anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Alex Masinda, ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Zoka alikuwa...
Nimechajribu kupitia baraza la mawaziri Lililotangazwa leo hii ni zaidi ya karata nzuri kwa CHADEMA,imeonekana mawaziri mzigo wameongezeka pengine zaidi ya akina Mlugo.hivyo basi ni jambo Zuri kwa CHADEMA kuanda outlay Ya weakness hao mawaziri kujiimarisha na sio kupinga .kwangu mimi naona ni...
huwa hatuombeani mabaya lakini mh Lowassa kwa wanaomfahamu kwa sasa kiafya hayuko sawa hata kwa muangalia kama umepata kuwa karibu naye,na hadi 2015 hali itakuwa pengine mbaya zaidi.ndio maana naona kuwa kumdiscuss jamaa ni kupoteza muda
anyway nimeuliza sababu nilikuwa najua huyu jamaa ana kadegree kamoja tu alafu ka fani isiyoheleweka .sasa kuona masters nikajua kuna member wengine watakuwa na more details
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Edward
Middle Name:
Ngoyai
Last Name:
Lowassa
Member Type:
Constituency Member
Constituent:
Monduli
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O. Box 139, Monduli
Office Phone...
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATANGAZWA LEO
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa na QT.
Jumla ya watahiniwa waliofaulu kwa Mujibu wa Matokeo hayo ni 23520 kuanzia daraja la I hadi la IV huku...
Katika uchambuzi wa magazeti leo redio one na gazeti la nipashe wameweka wazi kuwa leo ndio siku yakuyatoa matokeo hayo.
MATOKEO RASMI YANAPATIKANA HAPA -> https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/403316-necta-yatangaza-matokeo-ya-kidato-cha-nne-2012-a.html
Mimi ni mmoja wa watu walioomba master pale sasa ninachokiona ni kuwa wanaandaa mazingira ya rushwa kwa sasa wanapigia mtu mmoja mmjo simu sasa nikawa na maswali kidogo inamaana hawazi kuweka kwenye website yao au kutoa kwenye gazeti kama vyuo vingine vinavyofanya ?sikuishia nikapata namba ya...
Naomba mnijuze juu ya uvumi wa kuwa waziri wa miundombinu yupo dodoma anaumwa na kuna mdogo wangu kaniambia hilo
======
UPDATE:
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli jana (Aprili 18, 2012) aliugua ghafla akiwa kwenye Viwanja vya Bunge, Dodoma na kupelekwa katika Hospitali ya Mkoa ambako...
ni bora SHIBUDA ambaye alikuwa kimya kuliko ZITTO KABWE ambaye alikuwa busy na uraisi 2015 ili kuvuruga attention za uchaguzi ARUMERU ,hawa wote ni hatari mbaya zaidi ni huyo ZITTO ambaye ana cheo kibwa ndani ya chama
Nilikuwa napitia blog ya issamichuzi leo nikaangalia kwa mwenye uelewa wa kawaida utagundua kuwa imeibeba ccm maana imetumia picha nyingi kumnadi mgombea wa ccm-arumeru kwa picha na matukio ambapo yangeweza chukua sawa sawa na mgombea wa ccm,nikashuka chini kidogo nikakutana na picha za...
Lowassa awa mlezi wa Tamongsco
Na Kenneth Ngelesi
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ameahidi kutoa msaada wa gari na kujenga ofisi ya makao makuu ya umoja wa wamiliki, mameneja na wakuu wa shule za sekondari na vyuo binafsi (Tamongsco) taifa.
Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.