Anaripoti Askofu Mwamakula hakika nchi hii % kubwa watu wamekuwa zaidi ya wanyama.
Tunaomba Rais akemee watu wake hawa maana yeye ndo mkuu wao kuanzia utumishi na wazazi wenye watoto wa kike tusiruhusu waende huko huo ni uuaji kama uaji mwingine. BINTI ALIYELALA NA WANAJESHI AJILIPUA!
Kuna...
Nadhani aina ya music wa dansi wa Sasa hautengenezi kizazi Kipya na Hata hao Wasanii wa kufokafoka wanatoka Kwa Juhudi zao na sio kwamba wanatengenezwa kama ilivyokuwa THT.
JPM alikuwa akisema kwa kutamba kuwa sisi ni matajirj na kazi tuliziona no kulialia wala kupandisha gharama za maisha kwa kisingizio cha Corona iliyokua ya dunia nzima sio haka Kavita ka Ukraine tu..
Mkataba ile ulisainiwa kww vipengele vya kuifunga Tanesco isichomoke
1: Mkataba ulikuwa inaitaka Tanesco itumie umeme wa Dowans/Symbion kwa Miaka yote,
2: Mkataba ulikuwa umeandika Tanesco watumie au wasitumie Umeme wa Dowans / Symbion wanapaswa kumlipa kila siku ,Kila Mwezi, maisha yote.
JPM...
Mwanadipromasia wa Kimataifa Bernard Kamillius Membe, amedai hajawahi kuhama CCM, bali ilifanyika fitini na watu wachache ambao sasa hawapo kwenye Utawala wa CCM ili asigombee urais wa 2020.
Leo Membe amepata nafasi ya kuongea katika ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa, na kusema hawezi kuongea...
DC wa Morogoro Albert Msando amesema anakatwa Tsh.Milioni 2.8 kila mwezi kutoka kwenye mshahara wake wa Tsh. Milioni 3.1 kama rejesho baada ya kukopa Benki kiasi cha Tsh. Milion 106 ili kujenga vibanda zaidi ya 700 kwa ajili ya Wamachinga kufanyia biashara.
Kinachonisikitisha Mbunge na baadhi...
Mshindi wa Pili wa Miss Tanzania, Juliana Rugamisa ndiye atakayeiwakilisha nchi kwani mshindi wa kwanza,Rose Manfere amekosa vigezo.
Kamati imesema kazi ya BASATA ni kutoa kibali, lakini wao ndio wenye leseni.
Sheria hazijaenda bungeni kubadilishwa; ametumia cheo kuamrisha mambo yaende.
Akitokea mtu mwingine ambaye ana utashi mdogo, ataumiza watu angepeleka mabadiliko bungeni hapo sasa
"Siwezi Kuwa Na Msichana Ambaye Tayari Ana MTOTO"
Maneno Haya Yanasemwa Na Kijana Ambaye Kalelewa Na Baba Wa Kambo[emoji2960].
Sent using Jamii Forums mobile app
limetahadharisha kuwa, benki 6 nchini #Tanzania zipo hatarini kuanguka kutokana na kutokuwa na fedha za kujiendesha (undercapitalised). IMF imesema tatizo hilo limezidi kuikumba sekta hiyo nchini, na kupelekea Benki 6 kufungwa na BoT Januari 2018.
Maduka ya kubadilisha fedha za kigeni Arusha karibu yote yako chini ya ulinzi wa wanajeshi wakiwa na mitutu kwa kile kinachoitwa operation.
Its truly happening in Arusha.
--------
Ulinzi mkali umeimarishwa kwenye maduka karibu yote yanayohusika na biashara ya kubadilisha fedha(Forex)
Yadaiwa...
Nape alipokuwa waziri hakuwa akisema Bungeni changamoto za jimboni kwake, until when he was expelled.
Vivyo hivyo kwa Charles Tizeba, sasa analia na vivuko.
Nchi hii buana!!
Wafanyabiashara Walipewa Siku Tatu Na Waziri Mkuu Wawe Wameshayatoa Mafuta Yote Ya Kupikia Waliyodaiwa Kuwa Wameyaficha Na Kuhakikisha Bei Inashuka, Nadhani Siku Tatu Zimekamilika Jana, Vipi Huko Ulipo Mafuta Ya Kupikia Yameshashuka Bei?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.