Tanzania nchi ngumu sana. Naibu waziri mkuu anasema hajui na hawezi sema tatizo litaisha lini lakini chawa mmoja huku anatuambia linaisha karibuni [emoji23][emoji1787]
Amesema ukweli mtupu... kuna vitu havifutiki sijui kwanini hawakuweka hii part Uwezi kuandika historia ya Lowassa bila kutaja CHADEMA. Ni kujidangaya tu. Hili ni taifa letu sote
Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe...
DPP ndio anaye own mashtaka. Infact yeye ndioa anayepeleka mashtaka mahakamani. Kazi ya mahakama ni kusikiliza parties na kutoa hukumu. DPP akiamua kuondoa shitaka mahakamani, huwezi kusema ameingilia mamlaka ya mahakama. Mamlaka yepi kwanza!
Anaripoti Askofu Mwamakula hakika nchi hii % kubwa watu wamekuwa zaidi ya wanyama.
Tunaomba Rais akemee watu wake hawa maana yeye ndo mkuu wao kuanzia utumishi na wazazi wenye watoto wa kike tusiruhusu waende huko huo ni uuaji kama uaji mwingine. BINTI ALIYELALA NA WANAJESHI AJILIPUA!
Kuna...
Lkn nani anasema teuzi za Afrika zinatokana na weledi wowote wa mteuliwa kama sio connection?..
Kwamba pamoja na shida zote za umeme mwenye weledi kuongoza wizara ni mtu yuleyule na si tofaut na hivyo?..
Imagine Unatoka Safari ya bukoba na basi umechoka Halafu wewe unakaa kigamboni - Mji mwema umeshushiwa Mbezi stand Saa 6 Usiku
Si bora hata wakushushie Chalinze uwanze kutembea taratibu [emoji3525]
Nadhani aina ya music wa dansi wa Sasa hautengenezi kizazi Kipya na Hata hao Wasanii wa kufokafoka wanatoka Kwa Juhudi zao na sio kwamba wanatengenezwa kama ilivyokuwa THT.
Mnyeti amefanyiwa Vetting huyu akawa
mkuu wa wilaya na baadaye mkuu wa
Mkoa akaibukia kwenve ubunge. Kabla
va hapo alikuwa mkuu wa Shule pale
Igokelo Sekondari kuanzia 2013 hadi
2016. Ukiniuliza ni maajabu gani alifanya
pale hadi akachaguliwa kuwa mkuu wa
wilaya au mkuu wa mkoa hakuna
mwenye...
JPM alikuwa akisema kwa kutamba kuwa sisi ni matajirj na kazi tuliziona no kulialia wala kupandisha gharama za maisha kwa kisingizio cha Corona iliyokua ya dunia nzima sio haka Kavita ka Ukraine tu..
Wengi wanajiuliza na kuona kama 'Hakuna kosa' hapo, lakini kuna makosa makuu 2 ya haraka-haraka
1- Kimaadili ya kazi, huwezi onyesha tamaa dhahiri ya wadhfa fulani wakati upo katika ngazi nyingine,
2- "Nipewe hata miaka 3 tu, niwaachie!", anaonesha mashaka na utendaji wa IGP.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.