Search results

  1. fakhbros

    Maisha yanazidi kuwa magumu, familia inanitegemea na sinachochote cha kuwapa. Kichwa kinawaka moto sijui la kufanya!

    Niliwahi kupitia kipindi kama hicho mwaka 20007 nilikuja Dar es Salaam nikiwa na pesa kiasi cha 13m ila zile pesa zote ziliyeyuka nikaanza kudaiwa kodi ya nyumba pale Shekh lango nikaona nimwambie mke nilie kuwa arudi kwanza kwao mimi nikakimbilia Tabora nako maisha yalikuwa Magumu zaidi baada...
  2. fakhbros

    Fikra yangu sio dini yangu

    Katika maisha ya kawaida jamii inakuwa na watu wa kila tabia na tabia ndio zinazoweza kuitambulisha jamii husika Hivi karibuni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alianzisha kampeni yake yakupambana na wamiliki wa Madangulo katika viunga vya jiji la Dar Kwa hulka za waungwana ni kweli ukahaba sio...
  3. fakhbros

    Wanafunzi kukacha kidato cha 5 & 6 na kujiunga Vyuo vya Diploma, tatizo ni nini?

    Vijana wengi wanaosoma shule za kata wanaopasua kwenda Advance wanafanya vizuri sana huko ila hawa wanaotoka Egsschool wengi wao wanakwepa Sana kwenda Advance lakini yote ni kwamba aliepitia Advance na akaenda chuo kwenye soko la Ajira baadhi anapewa kipaumbele zaidi kuliko aliepitia Diploma...
  4. fakhbros

    Taarifa ya kupotea kwa ndugu Fakhru Issa Abeid (maarufu Osama)

    Nashukuru sana kwa wote mlio guswa na tatizo langu kiujumla siku nilizo Ishi katika tabu hiyo sikujua usiku wala mchana niliishi katika wakati mgumu watesi wangu walikuwa ni wema sana hawakuwahi kunijeruhi wala kupiga popote juu ya mwili wangu' Maisha ya kutekwa kiukweli ni Magumu sana' lakini...
  5. fakhbros

    NIDA kuanzia mwezi huu wataanza kutoza fedha Taasisi zote za Umma na Binafsi ambazo zinatumia taarifa za Mamlaka hiyo kuhudumia Wananchi

    Nami nitahitaji malipo ili kutoa taarifa zangu NIDA kama taarifa ninazo zitoa zinaweza kugeuzwa Biashara kwa makampuni Basi nami nilipwe pacent ya usumbufu kuwe na Huduma kutoka NIDA itwayo NIDA gawio
  6. fakhbros

    Uchaguzi 2020 NEC: Hakutakuwa na punguzo au nyongeza ya majimbo

    Nimekwisha jipanga kisaikolojia kuwa sintoshiliki upigaji wa kura kwa tume hii inayo tokana na matakwaa ya serikali Siwezi kujipaka kinyesi Siwezi nitabaki nyumbani kuangalia tv
  7. fakhbros

    Malawi: Rais Chakwera akosolewa kwa kuteua ndugu kwenye Baraza la Mawaziri

    Mambo mengi africa hukwamishwa na uduni wa katiba zetu kwa nchi ya malawi cheo cha uraisi huchukuliwa kama cheo cha uchifu ni tofauti kidogo na siasa za east africa hasa Tanzania na Kenya Wamalawi hawajali sana teuzi wao wanaangalia utendaji wa mteule
  8. fakhbros

    Kenya yaanza kutumia ‘internet balloons’ na kuwataka watu kutumia 4G

    Tanzania tupo mbali katika mambo ya matumizi ya Inarnet kuliko nchi ya Kenya ikiwa sisi tunatumia fiber cable zaidi ya 70% ya Watanzania wanauwezo wa kufikiwa na Intarnet hali ipo tofauti na nchi nyingi katika East Africa ikiwemo Kenya matumizi ya Fiber Cable yanawezesha unafuu wa upatikanaji wa...
  9. fakhbros

    Rais Magufuli ateua Wakurugenzi wapya watano

    Teuzi za Magu zimejaa ubaguzi katika gender na dini
  10. fakhbros

    Shule baada ya Corona

    Shukrani za dhati kwa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa kulifanyia kazi jambo hili tena kwa wakati nina Imani sasa watoto wakitanzania watasoma kwa Amani na upendo
  11. fakhbros

    Wizara ya Elimu izibadilishe shule za msingi za Serikali ziwe English Medium. Soko kubwa sana, Serikali ipate hela ya ada yanayovunwa na watu binafsi

    Hili wazo lingefanyiwa kazi naamini msongamano uliopo katika Shule za Olimpio na Diamond ungepungua kwa kiwango cha juu pamoja na kufanyika English medium lakini shule hizi hazikidhi vigezo ukilinganisha na shule za Tusime na Kaizirege
  12. fakhbros

    Wizara ya Elimu yasema tathmini waliyofanya imebaini ni ngumu kuongeza saa 2 za masomo, Shule zaelekezwa kufuata ratiba za masomo 8 kama zamani

    Tatizo linakuja pale mtoa tamko yupo kwenye kiti kinacho mfanya kujihisi yeye ndio mungu wa watu wote hivyo matamshi yake yaweza kufaa kuunda aya katika vitabu vitakatifu
  13. fakhbros

    Shule baada ya Corona

    Baada ya kufunguliwa kwa shule za msingi na secondary wizara ya elimu imetoa muongozo wa kuongeza muda wa masomo katika shule na vyuo mbalimbali nchini Jambo la kuongeza muda wa kujifunza ni jambo jema kabisa lakini changamoto ni uamuzi huo kutolewa pasina kuzingatia mazingira halisi ya...
  14. fakhbros

    Serikali yaanza rasmi Biashara ya kuuza mafuta nchini

    kwenye sekta ya mafuta serikali imeshindwa kabla ya kuanza maana mbali na TANOIL kuna GPSA ni wauzaji na wasambazaji wa mafuta ya serikali lakini hakuna ubunifu wowote katika hiyo tasisi miaka nenda miundo mbinu ya pump zao ni ile ile na uendeshaji wake umejaa magumashi
  15. fakhbros

    Wenye watoto wa kike wafundisheni binti zenu kujitegemea, wasitegemee pesa ya mwanaume

    Mwanamke kaumbwa kwa hisia ya kusaidiwa ukiona mwanamke asie penda kuhongwa huyo ni Jike dume jiepushe nae ukimzoea atakunyonya damu
  16. fakhbros

    Kumekucha: Mizigo yote ya DRC kupitia Mombasa Kenya, Tanzania yaendelea kusomeshwa namba

    Tanzania haiwezi kuipoteza fursa Katika mizigo ya kibiashara ya Congo ipitayo Katika Bandari yake.. Mpangilio wa kijographia wa nchi ya Congo Tanzania ni sehemu muhim kwa uchum wa Taifa hilo la DRC.. Sent using Jamii Forums mobile app
  17. fakhbros

    NITAKUJA KUMHOJI SIRO

    Utabiri Umetimia
  18. fakhbros

    NITAKUJA KUMHOJI SIRO

    Kamanda Saimon Siro hakuwahi kuwa mwinjiristi.. Kamanda Saimon Siro hakuwahi kuwa diwani au mwenyekiti wa Kijiji.. Siro akiwa amezaliwa Katika nyumba yenye maadili ya mungu siku chache katika maisha ya utoto wake alipitia katika mafunzo ya kipaimala kabla ya Kupokea Sakrament iliyotoa nafasi...
  19. fakhbros

    Njia Sita za Kumnasa Demu Mkali…

    Madam wasohitaji mbwembwe wamejaa kibao Inaonekana wewe bado baleh inakusumbua
  20. fakhbros

    Wanafunzi 7 Wafukuzwa Chuo Kikuu Cha Kiislamu Morogoro kwa kujihusisha na Mapenzi

    Chuo hiki ni chuo cha dini ila hukum waliotoa kwa hao wanafunzi ipo kinyume na mafundisho ya dini husika nadhani utashi binafsi kwa watoa hukum haukuzingatia matashi na hukum za dini husika Uislam uko wazi endapo imedhibitika kuwa wahusika ni wazinifu basi wangepigwa fimbo 50 au 80 kuliko...
Back
Top Bottom