Nilikuwa najaribu kukusaidia tu ndugu yangu kwa kile ninacho kifahamu kwa uhakika. Takwimu nilizokupa nilizipata kwa watu wanaohusika na zoezi la posting. Kutokuwepo kwenye website ya wizara hakuondoi ukweli wa hili. Usitake kutuaminisha kwamba takwimu zinazopatikana kwenye mitandao ndo sahihi...
Hapa naomba ieleweke kwamba, mwenye mamlaka ya kutoa vibali vya ajira katika utumkshi wa umma ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejementi ya Utumishi wa Umma.
Ndugu yangu Meningitis nashawishika kuamini kwamba hoja yako imeongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo. Pengine zipo tofauti binafsi kati yako na Mama Nyoni. Nisingependa sana utuingiza kwenye mtego wa kujadili hilo. Lakini kwa kuwa umepitia mgongo wa posting nitaelezea kidogo hilo. Kwa...
Katika hotuba yake baada ya kuapishwa Rais wa JMT na Mwenyekiti wa CCM alisema kwamba kutokana na kipigo walichokipata katika uchaguzi mkuu kwa kupoteza majimbo mengi (Nyamagana, Ilemela na Iringa kutaja machache). kama chama wangekaa na kuangalia wapi walijikwaa na kuangukia pua. Maskini ccm...
Rangi nyekundu Serikalini ishara ya mamlaka. Kama mtu ambaye ameshatangazwa,( nimebold kuonyesha msisitizo), kwamba nia mkuu wa nchi na anakwenda kuapishwa,hapo kumbuka kwamba akishatangazwa na tume ndo ntolee hiyo; sidhani kama alikosea. Labda nishawishi vinginevyo.
Huo ndo unaona muujiza ee, jiulize na hivi basi, katika jimbo ambalo chama kimekosa hata kiti kimoja cha udiwani, kinawezaje kupata kura nyingi za urais??
Sijaelewa busara kwako inamaanisha nini. Kama upo ushahidi wa dhahiri na usio na shaka yoyote kwa nini akubali? Kura ni mali ya wananchi, na kama anaaminii alipewa za kutosha ila kwa sababu ambazo haziko wazi,haieleweki ziliko, hana hiari isipokuwa kuzitafuta. Na hapo nadhani ndo ulipo msingi wa...
Wakati Mhe Zitto anafanya jitihada za kuwatuliza wanachma wake polisi walikuwa wapi?? Baada ya wananchi (wanachama wa Chadema) kutulia polisi walifuata nini kwenye ofisi za Chadema?? Kurusha mabomu? Ndiyo, kurusha mabomu kwa kuwa ndicho walichokifanya. Haya basi, madhumuni halisi yalikuwa ni...
Wana Jf nimepata taarifa ambazo naweza kuziita siyo rasmi lakini ni muhimu kuzifanyia kazi, kwamba kura za ubunge Arusha mjini zinarudiwa kuhesabiwa. Mwenye taarifa kamili kuhusu suala hili aweke hadharani.
Mkuu jitahidi tuapatie takwimu kamili pamoja na pilika zilizopo. By the way naamini ushindi upo tunachotaka kujua ni kwa kiwango gani. Big up Mkuu kwa taarifa za faraja kwa wapenda mabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.