Watu wengine cjui wanatumia nn kufikiri mfano salary slip amewasilisha maada yake hapo juu poa saana lkn kwa wepesi wa kufikiri mtu anakurupuka na mawazo mgando kuicrush
Mbona hawa wanasheria wa serekale utadhani ni mbumbu wa sheria. Duuuh big up kwa mh. Hakimu na jembe Lisu kwa kuonyesha weledi wa kuitafsiri sheria vozuriii
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Yeye amesahau kuwa siku TP Mazembe wamekuja kucheza na Simba Fc wana yeboyebo waliunda kikundi kizuri cha ushangiliaji na wakavaa jezi za Tp leo ni nini kinawauma au ndo kusema kuwa siku hiyo walifanya nini?
Hili la kufungia wabunge wa upinzan kisa wanapinga hoja za upande wa pili linalenga maslahi fulani. Kwanza kamati yenyewe hii ya maadili na haki ni ya upande uleule tuuu je unadhani hapo haki itatendeka.
Wewe unadhani ni fujo zipi wamezifanya tofauti na kuhoji vitu ambavyo vinakuwa vimeletwa na serikali visivyokuwa na maslahi kwa wananchi, mfano Zito kosa lake ni lipi au kuhoji uhalali wa kutoonyesha bubge live. Think twice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.