Fikra ya haraka inanitumua kukuuliza kama hiyo simu unayotumia ulinunua dukani au kwa mtu? Hakikisha una risiti ya manunuzi. Kwa vyovyote vile ama wewe au huyo rafiki yako mmoja wenu anatumia simu yenye RB.
Updates:
Wakuu,
Nashukuru sana kwa ushirikiano wenu. Hatimaye nimepata Noah na kuilipia.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
Wakuu,
Changamkeni deal hilo hapo.
Sihitaji gari la kugeuzwa VETA. Usajili kuanzia T XYZ DQ....
Mwenye nalo tuwasiliane kwa PM au kupitia...
Mchakato wa hii nafasi una hatua zifuatazo:
~Tangazo la nafasi ya ajira
~Kupokea naombi
~Kuchuja waombaji na kupata orodha fupi
~Kufanya usahili
~Majadiliano juu ya malipo
~Kufunga mkataba wa ajira
Ukiangalia hapo juu, ndo kwaaanza tuko hatua ya kwanza! Itakuwa vigumu kutoa majibu ya hatua ya...
Anahitajika binti kwa ajili ya kuuza bidhaa kupitia mitandao. Muombaji awe na sifa zifuatazo:
Awe na akaunti kwenye mtandao wa Instagramu yenye wafuasi/marafiki/jamaa wasiopungua 2000
Awe na uwezo wa kuandika jumbe (posts) zinazoshawishi na kusababisha wasomaji kuonyesha hisia zao au kufanya...
Tunahitaji madereva wawili; mmoja wa Kike na mwingine wa Kiume. Wawe na vigezo vifuatavyo:
Awe ni mkazi wa Mtoni-Kijichi au maeneo ya Mbagala-Kuu
Awe mwaminifu na asiwe na historia ya jinai yoyote.
Elimu walau form 4
Leseni ya udereva iliyohai dalaja D
Uwezo wa kujieleza kwa ufasaha
Ufahamu...
Carton yenye Chupa 12 inauzwa TZS 96,000/=
Ukinunua zaidi ya cartons tano unapewa Chupa za nyongeza ukaonjeshe bure.
Tunapatikana Dar na Mikoa mingine kupitia mawakala.
Unaweza kuongea nasi kupitia 0767 988 173.
Karibu sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.