Anayemkosea ni yule anayetangaza mambo ya kifamilia kwenye vyombo vya habari, angekaa kimya yote haya yasingetokea, mara mimi nimependekezwa yanini? mbona hatujasikia kwa akina Aboud Jumbe. Maalimu Seifu,Nyerere,Mkapa,Magufuli na wengineo wengi?
Keshaonja utamu wa madaraka, sijui akimaliza muda wake ataenda wapi. Ni vigumu kuamini na ndio maana nguvu nyingi zinatumika yaani badala ya kuzikwa kwetu tena unaenda na basi mnipeleke ambako si kwetu maili kibao sijui kwa mahaba gani na maisha karibu robo tatu nimeishi kaibu na kwetu halafu...
Mimi sio mwizi,mimi sio mwizi nani kakuuliza kuwa wewe mwizi? pia haya ni mambo ya familia mbona tarumbeta sana nahisi kuna jambo ambalo si sawa . Nani anataka kuzikwa ambako sio kwao azikwe kwa wakwe na si kwenye makaburi ya wazazi wake tena karibu kabisa na alipokuwa anaishi? tukumbuke...
Mkuu umesahau kwamba legacy haifi hasa kwa watenda mema, na ndio maana kamwe hatutawasahau Nyerere na Magufuli tutawasimulia na kuwaambia hata vitukuu vyetu yale mazuri waliyoyatendea nchi hii na watu wake ,kule Marekani bado George Washington anakumbukwa! na hata kwenye muziki bado tunamkumbuka...
Kwani yeye katafuta pesa, sema vijana baba zenu watafute pesa, vijana wetu hawana makosa wazazi ndio wenye makosa, hata hapa TZ wazazi wajanja ndio watoto wao wanalamba asali kwa fujo, sio kusema wao wana akili sana na ujuzi la hasha bali baba zao wamecheza keta na ndio wenye mizinga ya asali.
Wakazi wote wa Zanzibar ni wahamiaji, hicho kisiwa kilikuwa sehemu ya kupumzikia wavuvi kutoka mataifa na sehemu mbalimbali ambao baadae waliamua kuhamia hapo, ndio maana kuna makabila na watu wa mataifa mbalimbali ambao vizazi vyao vilihamia hapo kama akina Karume kwao ni Malawi, Salmini kwao...
Pia kuna zile ziara zao kwenye vitengo, wakurugenzi watendaji kwa kujikomba kwao na kutaka kubaki kwenye madaraka hutoa bahasha za kaki kulingana na hadhi ya taasisi, pia kwa wale wanaokaimu nafasi ili wathibitishwe kuwa wakurugenzi wa taasisi zao nao wana mchezo wa kuwakirimu maboss wao ili...
Alikuwa mchapakazi alipokuwa na njaa Homera wa Tunduru si huyu wa Mbeya kabadilika hata sura, sura ni ya neema ni ya mwenye pesa mtu aliyeshiba, amejifunza uadilifu haulipi na mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
Na CCM na Chadema ndio baba wa hayo yote. Chadema ni wasaka tonge tu wala hawawakilishi mwananchi wa kawaida, wanaandamana ili wapate misaada kutoka kwa wazungu na sio kuteteta wananchi wote ni walamba asali.
Kwanini mtu afiche dola na asifiche hii ya madafu? je ni wangapi wana uwezo wa kukaa na dola majumbani kwao,tupo wengi tu wala hatujui dola ikoje au hata hatujawahi kuishika, ninavyojua TZ pesa yetu halalini TZS HAYO MAMBO YA DOLA NI YA KWENYU WENYEWE NA MABILIONEA WENU.
Kule CCM yupo Mwashambwa na huku SACCOS ya Kaskazini yupo Erythrocte wote wanatoka mkoa wa Mbeya hawa hawana tofauti na akina Doto Magari / Mwijaku. Nyie wote wawili mnatutia aibu sana watu wa mkoa wa Mbeya kwa uchawa na ukunguni wenu uliopitiliza.
Jamaa alikuwa amehonga hadi makanisani, kuna wakati kwa jeuri na alikuwa na jeuri kweli kuwa wasiompenda kwenye chama waondoke wao, akajidanganya na akina Kingunge, Tibaijuka, Musukuma, Bashe, Malasusa wakati ule alidhani Mr Kutabasamu hatamuweza na kweli Mr Kutabasamu alimshindwa Mr Mamvi kwa...
Kwa hiyo ina mana maaskofu wa RC wanavyompinga Papa wao kuhusu kubariki ndoa za jinsia moja nao watatengwa sababu uamazi wa Papa ndio uamuzi wa kanisa? pia mbona katibu wa baraza la maaskofu yeye alihudhuria ile hafla juu ya bandari kule ikulu ina maana nae watamfungia milango ya kanisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.