1998 nilifahamiana na brother Sanctus akiwa Bado kijana na Mimi nikiwa Mtoto mitàa ya Segerea , Alikuwa MTU mwema sana na mshauri mzuri Kwa sisi wadogo zake wa pale mtaani, Nasikitika Leo ndio naona taarifa hii.
Mara ya mwisho kuonana nae last two years kwenye msiba wa kijana wake wa USA. Dah...
Si rudii tena hiiichezo niliachwa na gari nyegezi stand,naka3nda kuipata pale mizani Usagara. B0da kamaliza speed yote ile yaaani akikatisha ata inzi tulikuwa tumasagikaaa
Dah naona mmetuamulia Watu wa Chanika Kwa ngwale, Kwa zoo, Kwa Mbiki, Zingiziwa, Mgeule juu, Buyuni, Nyeburu, Kigezi, Masantura
Kwa kifupi sisi Bado tunajitafuta hatujajipata.. Ndio maisha yetu. Mungu akijlia kutanunua apartment huko mjini kwenu
Hebu nitajie Wasabato kumi matajiri wanamiliki uchumi mkubwa, nitajie wanasiasa Wasabato kumi,nitajie maprofesa 10 wakisabato, chuo chenu Cha Arusha kifungwa hakuna wanazuoni wa kufundisha, Shule zenu zote zilikufa zipo mahututi.
Hakuna chanzo kingine Cha Pato lankanisa zaidi ya mifuko ya waumini
Ngoja niwape story za ndani kabisa why wasabato wa Tanzania wapo nyuma
Ukoloni Mambo Leo: Wasabato wanatoa zake nyingi sana lakini hazibaki Kanisani kwao zinapelekwa USA(GC) makao makuu , Nairobi maana wao wanaamini kuwa zaka ni za wachungaji TU. Ili hali local church wanapaki pesa kidogo sana...
sidhani kama ni sawa , unamtoa mtu kutoka national security council ,mpaka kurudi chini kabisa district level
Mara nyingi watu wa sampuli hizi wakikosea wanatupwq ubalozini wakatulie mpaka wastaafu
Sasa huyu mkuu wa wilaya ya Tanga ,naona kama ni demotion kutoka kuwa kamishina wa kupambana na madawa ya kulevya mpaka wilayani? Hadhi yake ni sawa na IGP,Cdf,CGi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.