Leo katika taarifa ya habari ITV asubuhi, nimesikiliza maelezo ya kamati ya utalii na mwenyekiti wa bodi ya TANAPA na imenihalibia siku kabisa.
>Kwamba katika kila mtalii anayelala katika Hoteli zilizo katika hifadhi na Mbuga zetu, selikali huambulia dola 4 na wawekezaji dola zaidi ya mia tatu...
Inategemeana na uelewa wa issue yenyewe, lakini ukijifikilisha kwa mapana wawezapata jibu, .......politics is not all about monnie, waweza kuwa nazo na usipate unacho kitamani.......if your here for monnie this is not your right place...and so on. kama ni kweli GM alishayafanya hayo, the guy is...
wewe binafsi mdhihir amekukosea nini?.
Mdhihir na watu kama yeye wamewakosea watanzania kwa kufikili Tanzania Ya leo itakuwa kama zama za kidumu cha..........Bila kuweka masilahi ya taifa mbele.
Yeye akikosa ubunge wewe unapata nini?.
Ni hatua mojawapo mbele ili kulifanya Bunge letu liwe na...
Pia naunga mkono Hoja, Nadhani hii ni nafasi pekee pia kwa watanzania kuweka maslahi ya nchi mbele sio kung'ang'ania mazoea na kuogopa mabadiliko kwa sababu iwayo yote.Ninaona Tanzania yenye sura mpya mbele kwa kumuunga mkono Dr.Slaa.
Katika mkutano wa dunia kuhusu maendeleo na mafanikio dhiidi ya UKIMWI inaoendelea Viena Austria, kumekuwa na habarinjema katika research inayoendelea kuhusu matumizi ya gel au cream inayosaidia kuviharibu virusi vya ukimwi wakati wa kujamiiana (Microbicidal).
Nimeiona hii nadhani ni vizuri...
Wakati lengo la mkutano wa kimataifa kuhusu ukimwi duniani likiwa ni kujadili na kuonana maendeleo na mafanikio katika nchi mbalimbali Tazania tukiwa wamoja wao lakini banda letu limekuwa kama vile hakuna kitu kinachoendelea kuhusu masuala hayo.
Jumapili nilibahatika kuhudhlia pambano hati ya Timu ya mpira wa miguu Ethiopia "The LUCY" na twiga stars ya kwetu.baadaye katafrija kadogo Ubalozini kutokana na ushindi wao 3-1.
Kinachonishangaza mpaka majira ya saa tatu na nusu hivi tulipokuwa tunamalizia katafrija hako hakuna kiongozi yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.