Ni sahihi kabisa mzazi kumuuzia mtoto kiwanja, yaani kama baba anashida ya pesa anataka kuuza mali yake na mtoto anaitaji kiwanja na pesa anayo kuna ubaya gani jamani!!!
Aristotle believed man was a "political animal" because he is a social creature with the power of speech and moral reasoning: Hence it is evident that the state is a creation of nature, and that man is by nature a political animal. Hata uende wapi siasa ni kila kitu.
Kwa yeyote anayejua kuomba mwislamu au mkiristo tuwaombee hawa majaji wanaenda kufanya maamuzi au kutoa hukumu kwani wakisimama kwenye haki taifa letu kwa mara ya kwanza judiciary itavunja record kwa kusema mkataba ni Batali.. .
Nimefatilia mawakili walalamikaji na points zao zote against hoja za wanasheria wa serikali. Hata mtoto mdogo akipewa kufanya hukumu ya hii kesi ....jibu .... mkataba ni batili..au uwekwe mezani na pande zote mbili urekebishwe.
Adv. Livino: Wakati wakili wa serikali anawasilisha majibu yao alisema hatuwezi kupoteza Sovereignty kwa kuwa Tanzania ilipata uhuru 1961. Namkumbusha kwamba huo mwaka wa 1961 Tanzania haikuwepo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Tukio hili na mkataba wa bandari limefunua siri ya umuhimu wa Serikali TATU. Kungekuwa na serikali ya Tanganyika serikali ya Muungano ingekemewa na Tanganyika. Kumbukeni ile issue ya ugunduzi wa mafuta kule Zanzibar jinsi wazanzibar walivyokomaa.
Nuclear bomu umeenda mbali sana hiyo simu anayotumia maujanja yaliyotumika ni noma sembuse kuondoa kiharufu kwenye wese la nguruwe. Jamani ningekuwa mwislamu kimada wangu angekuwa kula nyama ya nguruwe
Mimi siamini kama Urusi ikilazima hiyo sarafu yao itumike kwa lazima kama itawasaidia. Mkakati uliopo duniani ni kuachana na bidhaa za mafuta, makampuni makubwa duniani yanayotengeza magari mpaka 2030 watakuwa wanatengeneza magari ya umeme tu. Bizaa za oil will be useless mkuu
Ndugu zangu nina wasiwasi na haya mambo, inawekana issue ya Mbowe Siro aliposema wanaushaidi tena mbele ya Watanzania leo unaiondoa kesi mahakamani Siro hawezi furahi maana amevuliwa nguo! Tena walimdangaja wakamwambia wenzake Mbowe wako jela !!!! Nae bbc kasema...... Hapo kuna shida kubwa. Ishu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.