Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania, Wapendwa naomba msaada wa kujua foundation powder nzuri kwa sie wenye ngozi za kiafrika,gharama zake na sehemu nayoweza kupata bidhaa hiyo.. Shukran
Za saa hizi wakuu, nimekuta pete ya dhahabu ambayo kama imeshavaliwa vile ina kito cheupe ndan mkoba wangu.. Imeingiaje sijui nshaanza kuogopa ni nini hiki??
Salaam alaykum wana jukwaa.. natafuta muuzaji wa lotion za bath and wash na body splashes zake pamoja na splashes za victoria secret kwa bei ya jumla.. kama yupo ani pm plz.. shukran
Salaam alaykum wapendwa.. naomba kwa yoyote ambae ana ujuzi wa kutumia amazon kama sehemu yake ya kununulia bidhaa kwa njia za mtandao anisaidie procedures zake na namna ya kufanya mzigo utakaonunua ukufikie muhusika..
Habari zenu wapendwa.... nina tatizo la nywele zangu yaan nyepesi sana halafu kavu plus zinachomoka kila ninapochana kiasi cha kusababisha kukosa uwiano... nyuma zimekatika mpaka zinatia hasira...je nitumie kitu gan ili ziwe nzuri kama za wengine??
Habari zenu wapendwa.. naombeni msaada nifanye nini tablet yangu display yake inaonyesha mwanga mweupe mpaka uikandamize kwa nyuma kwa nguvu ndo inarud katika hali yake ya kawaida.. tatizo ni nini?? na nifanyeje kuondoa hilo tatizo?? .. shukran sana..
Habari zenu wapendwa..naomba msaada ya kuifanya home theatre yangu iwe inakubali ku play music au video za aina yoyote ile ninazoweka kwenye flash maana sometym zinaplay some tym zinakataa kuplay... home theatre yenyewe ni ya sony dav-tz150.. shukran
Salaam alaykum wanajukwaa....naomba msaada wa kuelekezwa vigezo vya kujiunga kozi ya sheria kwa ngazi ya cheti at udsm, gharama na namna ya kupata admission zake.. shukrani sana
Habari zenu wana urembo,
Naomba msaada wa kupewa ushauri wa moisturizer gani nzuri kuupaka usoni kwa wale wenye combination skin or oily skin uso wangu una mafuta ambayo hayachemki bali yanaganda na kutoa weupeweupe flani hivi usoni.
Sio siri unaninyima raha rangi ya ngozi yangu ni brown...
Wana MMU habarini za leo,
Kuna jambo linanitatiza na kuniumi za nataka kusema lakinia naogopa mlengwa atalipokeaje jambo hilo mmh naogopa kuitwa mbeya mie maana wanawake hatunaga vifua vya kuvumilia maumivu.Nina rafiki yangu ambaye ana date na kaka flani hivi for more than a year now mkaka...
Mwidiwee.. Namahorooo wana JF
Bado Niko najiuliza maswali juu ya wanaume wasomi hasa hasa kuanzia level ya masters, PhD hadi kule kwenye ukuta ulioandikwa elimu tena basi kwanini wengi wao wanakuwa wanatabia ya kupenda kuwadharau wake zao hasa ukikuta wamewapita kiwango cha elimu mfano mke ana...
Ladies and gentlemen kama tunavyojua kila mwanaadam lazma apitie siku mbili za muhim maishani mwake ambazo ni kuzaliwa na kufa
Leo napenda kumshukuru mungu kwa kuendelea kumpa pumzi na afya tele ndugu yetu,kaka yetu, rafiki yetu Mr.DIKEMBE kwa kutimiza mwaka wake mwingine mpya toka kuzaliwa...
Mimi binti mwenye umri wa miaka 24, elimu yangu ni ya shahada, dini muislam pia ni muajiriwa. Natafta mume mwenye vigezo vifuatavyo: awe muislam mwenye elimu ya dini na dunia, awe na shughuli ya kumuingizia uchumi inayoeleweka, umri kuanzia 28 mpaka 34, kabila lolote lile, mwenye fikra chanya...
Nimekukumbuka wangu wa moyoni hisia zangu znatamani kukuona,moyo wangu wahuzunika kwa kutoona japo kivuli chako au kusikia sauti yako tamu...wherever you are just knw that my well is running low....
Sio siri wana cc kuna vitu ambavyo inawezekana vya ziada ambavyo mungu amemjaalia bujibuji vinafanya arefushe maisha yangu kwa kuwa na tabasam muda wote ninaposoma post na threads zake. Mungu kamjaalia kuwa na maneno mazuri na ujuzi wa kutumia tafsida inayoleta furaha kwenye kila neno lenye...
natumai wote ni wazima na napenda kutoa furaha yangu isiyo kifani kwa kuweza kujiunga na mtandao huu natumaini nitajifunza mengi kwa kujumuika katika kuchangia mawazo na kupata mawazo mapya na endelevu kutoka kwa members........... thanx JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.