Wakuu, nimejibana nimepata shilingi 1million mke wangu amenishauri nimemnunulie friji kuanzia laki 5-8 pesa itakayo baki laki 2 afanye kama mtaji wa kuuza barafu, Ice cream na juice. Naomba ushauri wenu je hii biashara inaweza inaweza zaa matunda na kurudisha hiyo pesa? Natanguliza shukrani.
Habari, Wakuu.
Naomba kujua kama ni jambo la kawaida Mwajiri kukushusha cheo, pasipo kumshirikisha mwajiriwa kwa barua, badala yake unakuta job title yako imebadilika ktk salary slip, japo kuwa mshahara haujabadilika. Endapo si sahihi ni hatua zipi zinanapaswa kuchukuliwa.
Habar za leo?
Kuna mdau anatumia ID ya KakaJambazi, ni mda mrefu sana sioni mchango wake humu Jf!
Ebu jitokeze kijana, nimemiss michango yako kwenye hili Jukwaa letu.
Wakuu,
Habarini za majukumu nikiwatakia sikukuu njema ya Xmass na heri ya mwaka mpya 2017.
Naomba niingie ktk mada kama nilivyoeleza hapo juu. Naomba kujua haki zangu niwapo ktk kikao cha nidhamu (Hearing) maana wengi wetu tunahudhuria vikao hivi bila kujua nini hasa natakiwa kupewa (documents)...
wadau mnisaidie, kuna ndugu yangu alikuwa na kesi kazini kwake lakini kabla ya kutatuliwa ktk kikao cha nidhamu mdau alikuwa anajiskia kuugua hata akashindwa kuhudhuria tareha zilizopangwa ktk kikao, alihudhuria hospitali nakupewa ED 8 kwa mda tofauti (ED,3,3,2) baada hapo kikao kilifanyika...
Wadau mnisaidie, kuna ndugu yangu alikuwa na kesi kazini kwake lakini kabla ya kutatuliwa katika kikao cha nidhamu mdau alikuwa anajiskia kuugua hata akashindwa kuhudhuria tarehe zilizopangwa katika kikao, alihudhuria hospitali nakupewa ED 8 kwa mda tofauti (ED,3,3,2) baada ya hapo kikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.