Chai ya richmond/dowans ilikua ya moto sana sasa ishapoa wadanganyika washasahau.... jamani TRA vipi mmeshapata kodi ya capital gain toka ktk uuzwaji huo... au ndo tax exemption kwa wawekezaji?
Well, aliyosema Ulimwengu ni maneno muafaka kwa si-hasa zetu za kibongo. La maana ni kujiuliza mpaka lini tutaendelea na rais mungu- mtu? Ulimwengu kuwa mbia wa Nyerere si dhambi na at least mambo wakati huo yalikua si mbof mbof kama sasa. Nchi za wenzetu ktk chaguzi timu-wabia wa upngozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.