Jamani umalaya umeshamiri sana katika miji mikubwa ya nchi za afrika mashariki.
Hivi hii imekuwa ni biashara katika soko huri?
Hivi ni nini sababu ya biashara hii ya umalaya?
KENYA. UGANDA, na TANZNIA.
Ikomeshweje?
Ndo maana kuna mwana JF mmoja jana alileta thread kuhusu CCJ kwamba imeundwa ili kuuvuruga upinzani.
Hiyo thread siioni tena. Huenda kulikuwa na ukweli.
Lakini yetu macho na masikio.
Mara CCM mara CCJ mara SI SI JE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.