Kiwanja kinauzwa Iringa Mjini.
>Kipo Mawelewele Iringa mjini.
>Kina ukubwa Wa 26.6m * 42m = sqm 1117.2
>Huduma za jamii zipo jirani (maji na umeme).
>Hakijapimwa ila barabara za mitaa zishachongwa na kipo eneo salama.
>Bei ni Tsh 11 milioni (maongezi yapo).
>Ukitaka nusu yake...
Jamani msaada nimenunua Techno M6 dukani mpya ila option ya kurestart na kushutdown haifanyi kazi. kuzima mpaka nishedule power itajizima yenyewe. Mwenye ujuzi ama niirudishe
Wadau kwa wale wenyeji wa Dar, kama unafahamu duka wanalouza scooter bike za bei chini nya mil. 1 naomba nijuze tafadhari. Natanguliza shukrani za dhati.
Je ni muhitaji wa kiwanja Iringa mjini ama Mafinga kwa bei unayoimudu, vipp vya size mbalimbali na bei tofauti tofauti, NiPM ama contact me on 0655101998
1. Kina ukubwa wa 21 * 40 m
2. Kimepakana na barabara ya mtaa, na kuna nguzo ya umeme hapohapo.
3. Maji yapo jirani
Bei Mil. 10 maongezi yapo
Cont: 0769877495
Its is Tanzania currency
1. Shilingi 5 of 1978 (Mbele ina Mwalimu Nyerere na reverse ina trekta) ni ya SILVER.
2. Noti ya Shilingi 100( Ina picha ya Masai ameshika mkuki, redio, ng'ombe na mbele ina picha ya Mwl. Nyerere).
Nipo Iringa, Ni inbox kwa maelezo zaidi.
Kutokana na watu wengi kusumbua wizara ya Utumishi kutaka kujua ni lini Ajira zitatoka.
Wizara hiyo imetangaza rasmi kuwa Ajira za Waalimu wa shule za Msingi na Sekondari 2013/2014 zitatangazwa tarehe 13-19 February.
Na kuwasili kwa waalimu katika vituo vya kazi ni Tarehe 01- 10 /03/2014...
Ndugu wana Jf, kama kuna mtaalamu wa masuala ya madini ningeomba anisaidie namna ya kujua ardhi yenye madini yafuatayo;
1. Ruby and Saphire
2. Gold
3. Aquamarine
Kama ataweza anambie naweza vp kugundua kuwa ardhi hi ina madini ndan kwa kuangalia feature ya juu ya ardhi pasi na kutumia vipimo...
Jamani nina Laptop Hp Compaq nc 8230, mara ya kwanza ilikuwa na tatizo la display inawaka alafu inazima kama inapiga indicator, but nilipopeleka kwa fundi alipoifungua akatoa battery akakonect na adaptor, kuna AC iliyopo karibu na Processor ikawa inatoa moshi na cheche. Ushauri: Vipi yaweza pona...
Rejea kichwa hapo juu, kama wewe ni mwalimu uliyemaliza Diploma ama Degree ya moja ya somo tajwa hapo juu, kuna kazi ya kufundisha Chuo cha Ualimu, Grade A. Wilaya ya Mufindi- Mafinga mjini na ni cha Private, niPM nikuunganishe ila itabidi usaini mkataba na mwajiri wako, sio ya muda mfupi. Kama...
Hello ndugu, mie ni Mjasiliamali na muda mwingine huwa napenda kupiga stori na wazee, kuna kona nimekutana na mzee katika ongea ongea tukazungumzia suala la mali za Mjerumani na akanionyesha Rupia nyuma zina Makuti na mbele Rais ana ndege juu ya kichwa chake, nimeongea nae kanambia nitafute...
Wana JF
Nauza shamba la kupanda miti.
Zipo hekari 100, wilaya ya Mufindi kijiji cha Ibwanzi.
Kila Hekari ni Tsh 120,000/=.
Msimu ndio huu changamkieni dili hili, ukinunua nyingi bei inapungua.
Pia nitakuuzia na miche ya miti kwa Tsh 80/= tu kwa mche.
Contact: 0687 022 411
Nauza mbao za mninga.
Size 2 x 6 na 1 x 8, zina urefu wa futi 7.
Kila moja 20,000/=.
Zimebaki pisi 50, wahi kabla mzigo haujaisha.
Nipo Mafinga. Kwa maelezo zaidi ni PM.
Nipo Iringa, kwa anayeuza pikipiki iliyo2mika lakini iwe katika hali nzuri na iwe inafanya kazi.
Bajeti yangu ni Tsh 750,000/=
>> Kama tangazo linakuhusu ni PM.
>> Natanguliza shukrani.
Wana Jf nina gunia 50 za mahindi, yenye ujazo wa debe 7 kwa kila gunia.
>> Nauza Tsh 65,000/= kwa gunia.
>> Nipo Mafinga mjini.
>>> Price is negotiable
CONTACT: 0769 877 495
Viwanja viwili vyenye ukubwa wa 25 x 30 m, kila kimoja vinauzwa.
- Vipo Iringa mjini - Mawelewele.
- Havijapimwa, mnunuzi atafuatilia upimaji mwenyewe.
- Bei ni milion 3.8 kila kimoja. Maongezi yapo ukiridhika na bidhaa.
- Contact: 0769 877 495
Kiwanja chenye ukubwa wa (35 x 25)M = 875 sqm kinauzwa.
Kipo Iringa mjini - Mwangata.
Kimepimwa na kina hati miliki, pia huduma zote za jamii ( maji, umeme, barabara) zinapatikana jirani.
Bei: Tsh 17 milioni, mazungumzo yapo.
For serious buyer contact me through: 0687 022 411
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.