Wana bodi
habari
naombeni mnijuze bei ya soko ya NISSAN XTRAIL GT ya 2002 imesajiliwa na imetumika kuanzia mwaka jana ipo hapa hapa DSM
Just bei tu wadau.
Wadau toyota starlet inahitajika haraka sana nipo DSM mwenye nayo anijulishe bajeti yangu ni 5m/= mob 0712 437 365.tuma meseji tuu utajibiwa kwa mwenye gari husika
asanteni
wadau
nisaidieni ushauri nataka kununua kagari kadogo kwa ajili ya mishemishe za hapa mjini nishaurini kweye haya magari ni lipi durable na economical na upatikanaji wa spea kwa bei nzuri
1.NISSANI MARCH
2.VITZ
3.SUZUKI SWIFT
4.TOYOTA STARLET
asanteni naombeni mawazo yenu wana JF hasa toka kwa...
Wadau nashukuru kwa maoni,ushauri na elimu tenki nililojenga ni la duara kina chake ni futi 14 na upana wake ni futi 8 so from up to down futi zinalingana na upana vile vile the same futi 8 from up to down so please nipeni vipimo vya kitaalamu regardless kuwa mtu unajua au hujui hesabu kubwa...
Wadau nimejenga kisima ili nivune maji ya mvua hapa hapa DSM naomba wenye ujuzi wanijuze hivi kisima cha urefu wa futi 14 na upana wa futi 8 kina ujazo wa lita ngap? Asanteni
wadau mwenye uzoefu na gari ya aina hii tafadhali amwage dataz hapa JF nina mpango wa kukanunua haka kagari siku za karibuni -nahitaji kujua uzuri na ubaya wake mf.spea parts,fuel,durability etc.
nawasilisha asanteni
Wadau naombeni mawasiliano email au simu ya kampuni zinazochimba visima kwa bei inayoweza kufikiwa na mtz wa kawaida bajeti 2.5m to 3m please nisaidieni ndugu zanguni nipo DSM
Nawasilisha
Wadau pale panapostahili pongezi lazima tutoe na hii inakwenda kwa manispaa ya kinondoni kwa kuanza ujenzi wa daraja la mto mbezi la kuunganisha goba na makongo hongereni sana na tunaomba muimarishe barabara yote toka goba stend hadi makongo juu hadi survey ili hata daladala ziwe zinafanya...
Wadau nashukuru sana kwa Elimu hakika hivi vifungu vimenifumbua macho sasa nitafanya huo utaratibu na hopefully nitafanikiwa JF idumu zaidi na Mungu azidi kutupa moyo huu wa kuelimishana asanteni
Mdau yeyote wa Ardhi atusaidie tafadhali hii ni ishu ya muhimu sana watanzania kujua maana watu wanaumiza vichwa sana kwny suala zima la upimaji wa ardh mkurugenzi wa upimaji wa ardhi kama upo hapa JF tafadhali tusaidie
Mkuu nashukuru ni nje ya mji kuna kimara na pia goba maana nature ya maeneo haya ni milima na mabonde sasa ukichek kwny raman utaona wamechora au kupiga picha kuwa eneo fulan ni mto ilhal si mtu ni mkondo wa maji tu msimu wa mvua hapo utata unaanza kwny kupima na kiukweli si mto watu wamejenga...
Wadau natumaini mko salama naomba mnijuze mwenye mamlaka ya kubadili ramani ya ardhi mf sehemu ya tindiga yaweza kufaa kwa ujenzi iwapo utafuata ushauri wa kitaalamu japo utakuta kwny raman haitakiwi kujengwa au sehemu ambayo zaman kulikuwa na mkondo wa maji na sasa umefutika kutokana na...
Wadau asanteni kwa elimu nzuri hapa JF naombeni nijue gari ina button 2 kwa ajili ya 4WD moja imeandikwa automatic nyingine imeandikwa LOCK ipi ndo ukipress utakuwa umeweka 4WD asanteni
madhara yake ni yap mkuu na inawekwa vipi hiyo Fuel enhancer plus cost please tuambie maana lazima itakuwa na madhara kiasi fulani ebu jaribu kutujuza thn tutawasiliana kwa utaratibu huo
kweli nimekubali hapa JF ni zaidi ya kitivo cha Elimu hakika nimeelimika vya kutosha na nashukuru sana kwa michango yenu mwenye mchango zaidi kuhusu topic tajwa tafadhali aulete ili tupate elimu
Mdau hizo made in tanzania zina guarantee ya mda gan? Mimi nahitaji za mayai 1000 na pia sehemu ambayo naweza kupata hayo mayai please jibu bajeti kuanzia 2m/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.