Kupimwa Kenya ni lazima...
Maana serekali ya Tanzania imesema haina wataalau madhubuti wa kupima corona katika ile taarifa ya tume ya uchunguzi ya maabara ya taifa.
Sasa kama mmetangazia ulimwengu kuwa hamna wataalamu wa kupima kosa ni la nani? Nyie wenyewe mmeshawaaminisha kuwa majibu ya huku...
P....je unaelewa maana ya Milele?
Naomba uondoe neno milele usipoliondoa utakuwa shabiki njaa wa ccm ama hujui kiswaili, kwa maana hii utakuwa hujui ulichoandika.
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.