Nimelazimika kuja hapa baada ya kuona huo upotoshwaji hiyo ni story ya uwongo
Lengo ni kuchafua chama tu tutatolea ufafanuzi lkn pia picha hiyo inayo sambaa nikakipande ka veranda ya nyuma
Kumekua na uonevu mkubwa sana pamoja na mazingira ya rushwa kubwa sana kwa maofisa wa tra makambako mkoa wa njombe.kwanza ukienda kukadiriwa unapigwa bei kubwa ambayo hailipiki nia yao uwatafute nje na ofisi wakutoe kitu kidogo
Pia wengine wana watu wanaowatumia rasmi kukusanya hela ya rushwa ...
Kila mjadala lazima uwe na level flan sasa msando sio kiongozi wa kisiasa bananga nikiongo wapi na wapi
Huyo msandu atafutiwe watu wasio na vyeo km yeye
Hakuna kitu km hicho kwanza tambua sisi hatufanyi.vurugu wala hatutaki kuvunja sheria ila we madiba nakuona km mtu wa shari kiasi kwamba unataka tujibu mapigo.tulia muda bado utafik a tu maandslizi ni mhimu kuliko unavyo fikori
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.