Search results

  1. mtwa mkulu

    Uwezo wa kuwapiga tunao, sababu ya kuwapiga tunayo na Nia ya kuwapiga tunayo!

    Hii ndiyo kauli mbiu bora kabisa kutoka kwa mjangwani mwenzetu. Hakika tunaenda kuwagaragaza simba hawa wa manjano pale kwa mkapa. Karibu tuburudike. Dominika njema!
  2. mtwa mkulu

    Taarifa nzuri sana kutoka iringa usikose kusoma

    Kamwene: Hali ya hewa iringa leo ni nzuri sana hakuna Baridi na jua linawaka vizuri sana. Bei ya komoni ni sh 300 kwa lita 1, ulanzi ni sh 400 kwa lita, pia kuna promosheni ya Ulanzi kwa vilabu vyote Lita 2 inauzwa kwa sha 700. Bei ya kande kibakuli kimoja ni sh 100 pilipili bure, upande wa...
  3. mtwa mkulu

    Kuelekea Mechi ya wanaume Dar young Africa V. Mamelod fc

    KISASI NI HAKI🔰 Mwaka 2001 Yanga ilikutana na Mamelodi Sundowns katika hatua za awali kwenye ligi ya mabingwa barani Africa .Mamelodi ilikua ya moto kwelikweli ikiwa Chini ya Mwanamama Natasha Tshiclas aliyekua mkurugenzi mkuu kabla ya kumuachia timu Patrice Motsepe. Matokeo yalikua 3-3 uwanja...
  4. mtwa mkulu

    Lupiko

  5. mtwa mkulu

    Mnaitwa hukuuu

  6. mtwa mkulu

    Je, haya ya huyu Diwani wa Kyela 2020 yanaweza kumkuta "mama" 2025?

    Alikuwepo diwani maarufu kwa jina la Kanyanyila aliyeingia madarakani mwaka 2015 kuongoza kata yake ya Lusungo. Ilikuwa ni jambo la kushangaza kwa mwanamke kushikilia madaraka makubwa ya kisiasa namna hiyo hapo Lusungo na ukanda wa Ndamba kwa ujumla. Utawala wake ulikuwa wenye kuudhi watu...
  7. mtwa mkulu

    Hili la NHIF tunaomba mturuhusu kuondoa makato ili tukope

    Wandugu, Hospitali za private zimesitisha huduma kwa wagonjwa wanao katwa mishahara yao kila mwezi na mfuko wa NHIF. NHIF nayo leo imetangaza kusitisha mkataba na hospitali ya agakhani na TMJ. Bila shaka madhira ni makubwa sana kwa wafanyakazi. Ombi langu: Kwa kuwa huu mfuko sasa hautusaidii...
  8. mtwa mkulu

    Charlene Ruto

    Age 31 Born January 11,1993 Namba ya simu ninayo
  9. mtwa mkulu

    Warudiane tuu

  10. mtwa mkulu

    Happy birthiday Collina(the VAR himself)

    Tulisahau kukuwish tarehe 13 tulikuwa na mambo ya msiba. Heri ya kuzaliwa kwa mwamuzi bora zaidi katika historia ya soka Ulimwenguni, Pierluigi Collina ametimiza miaka 64 leo. 🎂🇮🇹🤝 Mwamuzi huyu anaongea lugha nne (Kifaransa, Kihispania, Kiitaliano, na Kiingereza). »Kabla ya kila mchezo...
  11. mtwa mkulu

    Kichuya kujiunga na jeshi

    KICHUYA NA WENGINE SITA KUKOSEKANA JKT. Klabu ya JKT Tanzania huenda ikawakosa nyota Zaidi ya Sita akiwemo Shiza Kichuya ambao wapo kwenye hatua za mwisho kwenda kwenye mafunzo ya kijeshi kwa muda wa Miezi mitatu. Kocha Mkuu wa timu hiyo Malale Hamsin amethibitisha taarifa hizo nakubainisha...
  12. mtwa mkulu

    Michezo ya Redio: wewe ulisikiliza mchezo gani?

    Mimi nakumbuka 1. Twende na Wakati - Radio Tanzania 2. Pilika pilika - TBC Taifa 3. Wahapa hapa - Radio free Africa Karibu tukumbushane
  13. mtwa mkulu

    Picha Yangu bora msibani kwa Lowasa inaongea Mengi

    1. Lema na Usaliti ni vitu viwili tofauti 2. Namuona Dalali hapo kama kuna pesa hata Lema anaweza kuwa takataka kumzidi bashite 2. Namuona Dalali hapo mtu wa kujikomba komba akidhihilisha kuwa wao ni wamoja ila wanapretend kuwa tofauti mbele yetu. 3. Lema ni mtu serious kuanzia Usoni hadi moyoni
  14. mtwa mkulu

    Kizazi kigumu hikiii

  15. mtwa mkulu

    Karibuni Mbeya

  16. mtwa mkulu

    Mauzauza: Alichojibiwa Makonda kero ya Iringa ni ile aliyotishia kumpiga kibao Naibu Waziri

    Wakuu heshima kwenu. Poleni na msiba mkubwa sana wa kitaifa wenye historia kubwa hapa JamiiForums. Nipende kuwakumbusha kuwa akiwa ziarani Iringa ndugu Makonda alikutana na KERO ya wafanyakazi kiwanda cha karatasi mgololo ambapo kwa miaka 20 wafanyakazi hao wamekuwa wakiidai serikali mafao yao...
Back
Top Bottom