Na bado... jaribu kumuelewa na baadae utagundua mtindo wa kuishi nae... stress zote zitakwisha. Mimi niliamua kufunga milango ya hasira na kufungua gate la upole hasa wakati wa matatizo. Sasa hivi naishi nae kwa raha mstarehe
Nilikuwepo, hakusema kilichoandikwa humu. Kimsingi alisifiwa na watafiti kwa kuongeza bajeti ya utafiti na kukarabati miundo mbinu ya utafiti nchini. Fuatilia alichowasilisha mkurugenziwa Tume ya sayansi na reaction ya president baada ya hapo
Katika viongozi vimeo ninaowajua mmoja wapo ni huyu Mzee wa kimbulu. Anachotaka kukiona ni vurugu na maneno yasiyo na tija. Mipango ya chama kingine inamuhusu nini? au hana la kufanya nini. Namshauri aende karatu kulima nagono maana hana capacity hata ya kujadili hoja badala yake amekuwa mtu wa...
Nataka TZ hii:
1. Visionary leadership, having the capacity to set institutions of governance that will take this country 100 years ahead
2. Capable leaders capable of translating the vision into action for prosperity, rule of law and accountability
3. Leaders whose ambition is to lead and not...
Nkisumuno kweli wewe ni Kimeo na taahira hebu acha upumbavu wako hapa. Polisi waamue kuwa na maiti nne za nini. Hao jamaa walikuwa na kikao cha ndani kwenye kiofic kidogo wakati wao walikuwa kundi, hivi vikao vya ndani ni pamoja na speakers na shamra shamra? Acheni ujinga bwana
A good leader will never look for cheap popularity like going to meetings where wahuni wanakataa kutii amri halali kwa kutafuta umaarufu.
Mimi naamini Zito alijua kuwa sio sahihi kuwepo Morogoro. After all kitu gani kingebadilika kwa kuwepo kwake.
Sioni uhusiano Kati ya kinachotokea bungeni na M4C. Achaneni kulazimisha agenda. Serekali inafanya kazi kwa utashi na umakini mkubwa. Mkipewa mtafanya nini wakati hata mkononi hamuenei
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.