Natumia simu (sio simu ya Android) aina ya Oking 1712. Nimesahau password niliyokuwa naitumia. Naombeni msaada wenu wa ku-unlock bila kui-flash.
Inawezeka?
Habarini,
Kuna kaka yangu ana viazi vitamu kama ekari 8 hivi na vinakaribia kukomaa ili vichimbwe.
Tunatafuta masoko ya viazi vitamu kwa mikoa ya Lindi na Mtwara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wangu ana umri wa miezi kumi na moja mpaka tarehe 25 mwezi huu wa 11, 2018 atakuwa na umri wa mwaka mmoja kamili. Kwa Kipindi chote toka amezaliwa mpaka miezi 6 alikuwa ananyonya tu. Toka miezi sita mpaka sasa tulikuwa tumpa uji na vyakula vingine.
Sasa wiki hii mama yake anaanza...
Naombeni ushauri,
Mimi na mke wangu tuna mtoto mdogo wa mwezi mmoja ila mama wa mtoto anakosa muda wa kumnyonyesha kwa sababu muda mwingine anakuwa kwenye vipindi (lectures).
Sasa je, ni salama kiafya kumpa mtoto maziwa mfano (Lactogen 1) tofauti na ya mama kwa muda ambao mtoto atakosa kunyonya?.
Habarini
Ndugu wanajamvi,nimefanya maombi ya mkopo kwa ajili ya mdogo wangu bodi ya mikopo.Nimejaza taarifa zote lakini kwenye post form four education kila nikiingiza index namba wananiambia post form four index number you have not confirmed.
Naombeni msaada tatizo nini?
Asanteni kwa...
Tikuba ramadhani ni mshindi Wa million 284 Wa M-bet perfect12. Ni nani anayemjua huyu mtu au M-bet walikuwa wanafanya matangazo tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu humu.
Ninahitaji kuwa wakala Wa kampuni zinahusika na ununuzi Wa korosho Wa Mikoa ya Lindi na Mtwara.
Kampuni zinazotaka kununua korosho kwa msimu Wa 2017/2018 kwenye mikoa hiyo please tuwasiliane niwafanyie kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nafanya application ya chuo Udom ila nimeingiza email wananiambia Invalid. Tatizo Nini wakuu au kama kuna mtu kafanya application humu anisaidie suluhu ya tatitzo hili.
Asante
Habari wana-JF,
Mimi nilijiandikisha kwa mara ya kwanza kwenye daftari la kudumu la wapiga kura nikiwa Dodoma.Na sasa nipo mkoani lindi hivyo basi baada ya NEC kutoa taarifa kuwa wote waliojiandikisha ktk maeneo ambayo hawatakuwepo siku ya uchaguzi waende wakabadili taarifa zao kwenye maeneo na...
Habarini wana JF,
Jamani kwenye simu yangu ya mkononi nimetumiwa "message" hii ======> +15092142532:Your Mobile Has Won 1,000,000 Dollars in T.MOBILE PROMO USA, to claim send ur Name,Phone No,Age,Addres,Job,sex to ROBERT Email:tmbus70@outlook.com
Vipi hii "message" inaweza kuwa na ukweli wowote?
Habarini wanajamvi,
Naombeni msaada kuhusu simu yangu aina ya iphone 4s.Kila nikijaribu kuingia internet huwa inajizima na kujiwasha.Yaani toka nimekuwanayo sijawahi ku-access huduma ya internet.Kwahiyo naombeni ufumbuzi wa tatizo la simu yangu.
Nawasilisha!
Habari zenu wakuu,naomba kuuliza kwamba kama nchi za wenzetu kama vile Ufaransa (french revolution),Urusi (october revolution),uingereza (Chartism&luddism etc) zilifanya mapinduzi kutokana na maonevu,dhuluma na watu kukosa mahitaji muhimu ya maisha kutokana udhaifu wa viongozi waliokuwepo...
Msaada wana jamvi,naomba nifahamishwe hii kozi Bachelor of education in special needs ajira zake unafanya kazi wapi? na je,uhakika wa ajira upo? Pia nahitaji taarifa za field huwa wanafanyia wapi kwani naona shule zake ni chache sana hapa Tz. Mimi nimechaguliwa UDOM 1st year
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.