NAWAANDIKIA kuwahimiza vijana wa CCM kuipigania CCM na serkali yake popote mtakapokuwa, iteteeni CCM, mtetee Rais wetu Samia Suluhu Hassan, semeni mema yanayofanyika na awamu ya sita kwa nguvu zote.
Msiposema nyinyi watasema maadui zetu, ambao kamwe hawatasifia isipokuwa kuwaaminisha watu...
MKURUGENZI Mtendaji wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo amempongeza Rais Dk John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kipekee wa kutoifunga Tanzania (lockdown) katika kipindi hiki cha Ugonjwa wa COVID-19 na kuwataka wananchi wake kuendelea kuchapa kazi huku wakichukua tahadhari za kujikinga...
Dar es Salaam. Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amewakabidhi kadi za uanachama wa chama hicho waliokuwa vigogo wa Chama cha Wananchi (CUF) huku Maalim Seif Sharif Hamad akipewa kadi namba moja na Juma Haji Duni akikabidhiwa kadi namba 10.
Shughuli ya kukabidhi kadi hizo...
"Sisi tunaamini kuwa Mwalimu Nyerere ndiyo mzalendo pekee wa taifa hili kwa sababu alikubali mfumo wa vyama vingi vya siasa akijua kuwa kuna siku chama chake cha CCM kitashindwa kuiongiza nchi hii" Hashim Juma - M/Kiti wa Baraza la Wazee Chadema
Hashim Juma - M/Kiti Baraza la wazee Chadema...
Kilichofanywa ni hatua ya awali kumtoa mgonjwa eneo la ajali sasa anatakiwa apelekwe hospitali apatiwe matibabu na tiba ni kurudisha sheria Bungeni kwa hati ya dharura ili haya mambo yawe kisheria yaweze kutekelezeka.
Ili mambo haya yaweze kutekelezeka ni lazima Mwanasheria Mkuu wa Serikali...
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Tanzania, Simon Sirro amesema waliomteka mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ walitaka kupewa fedha licha ya kutotaja kiwango wanachohitaji.
Sirro ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Oktoba 20, 2018 katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam ambako...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu leo kimezindua ripoti ya nusu mwaka ya matukio ya uvunjifu wa #HakiZaBinadamu kwa kipindi cha nusu mwaka kuonyesha jinsi hali inavyoendelea
Matukio ya ukatili kwa wanawake yameongezeka ikilinganishwa na mwaka jana, kwa kipindi cha kuanzia Januari 2018 hadi...
-Rais amechoka kutenga bajeti kila mwaka wa bajeti kulisha wafungwa na wahalifu badala ya kuhudima wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu, reli, ndege, na miradi ya umeme.
-Rais ameniagiza kuhakikisha magereza yote nchini, wafungwa kwa kutumia nguvu zao kuwa sehemu ya kujutia kile...
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Ijumaa, Julai 20, 2018 inatarajiwa kutoa hukumu katika kesi ya dawa za kulevya inayomkabili muigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu na wenzake wawili.
Mrembo wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu tayari amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...
Kufuatia mkutano alioufanya muigizaji Muna Love na waandishi wa habari hapo jana na katika maelezo yake akaanika sauti ya muigizaji mwenziye Steve Nyerere ambayo alimpigia simu muda mfupi baada ya mwanae kufariki dunia huko Kenya na kuzungumza nae baadhi ya mambo kuhusiana na kifo hicho cha...
Dar es Salaam. Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeandaa mazoezi ya pamoja ya kijeshi kwa maofisa kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Mazoezi hayo yaliyopewa jina ‘Ushirikiano imara’ yanawashirikisha wanajeshi na maofisa wa Serikali kutoka Tanzania, Uganda, Burundi...
Chama cha wananchi (CUF) upande wa Lipumba, kimesema aliyekuwa mbunge wa Kinondoni kupitia chama hicho Maulid Mtulia amejiuza kwa CCM na alikuwa akijaribu kufanya hivyo kwa muda mrefu
- Afisa habari wa chama hicho, Abdul Kambaya amesema Mtulia alishawahi kujitoa kugombea udiwani dakika za...
= Anatambua kwamba mwanaye amehama kutoka chadema na kwenda CCM
= Mama Wema asema hana mkakati wowote wa kuhama kutoka chadema
= Pia amesema Wema ni mtu mzima lakini hakumshirikisha yeye kama mzazi katika maamuzi yake ya kuhama kutoka chadema
= Siwezi kuwabagua watoto wangu kisa wapo vyama...
BAVICHA imeazimia kuziba nafasi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Bavicha Taifa kwa kumteuwa Patrick Sosopi kuwa Mwenyekiti wa Bavicha mpaka hapo watakapofanya uchaguzi.
Bavicha ni injini ya Chadema. Hivyo Bavicha wamejipanga kuhakikisha kuwa wanakwenda kutetea Demokrasia ambayo iko ICU ndani ya nchi...
Chama cha ACT Wazalendo kimesema bei ya mbaazi nchini imeporomoka kutoka Sh2,500 kwa kilo mpaka Sh200.
Kutokana na hilo, kimetaka Serikali kuwatafutia wakulima soko na kufufua mazungumzo kati yake na Serikali ya India ambayo imefunga soko la zao hilo kwa nchi ambazo hazikuwa na mkataba nazo...
MAMA Shamim Juma mkazi wa Dar es Salaam ambaye ni mwenyeji wa mkoani Mwanza anadai kuwa aliibiwa mwanaye wa miaka miwili, kisha kumpata akiwa mkubwa wa umri wa miaka 15.
Baada kufuatilia inadaiwa kuwa mtoto huyo aliibwa na bibi mmoja ambaye alikuwa mfanyakazi wao wa ndani. Baada ya ndugu wa...
Breaking News: Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imemkuta na hatia ya utovu wa nidhamu aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga anayekipiga Morocco, Simon Msuva huku ikiwasamehe Obrey Chirwa na Deus Kaseke.
Mh Hussein Bashe (Mbunge wa Nzega Mjini)
=>Hawa watu wanatakiwa kufungiwa leo hakuna
Nakuomba mh raisi utakapomteua mtendaji mkuu wa kamisheni ya madini, waanzishe masoko kwenye sehemu yenye wachimbaji wadogo.
=>Naona mtendaji mkuu wa ACACIA amesema wanahisa hawatapata divident kwasababu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.