Ninaandika hili nikiwa na maoni chanya kabisa kwa ajili ya nchi yangu.
Napenda kumpongeza sana Speaker kuteuliwa kuwa kuwa president wa IPU.
Ila Napenda kumkumbusha kuwa asije kuwa kibaraka against our national interest, wote tunajua kuwa hizi international organizations ni tools za mataifa ya...
Wafanyakazi wananyonywa sana, makato ni mengi, lakini taasisi ziwe za serikali ama binafsi kupeleka michango hiyo sehemu husika imekuwa ni issue sana. Inafikia mfanyakazi anastaafu, ameumia kazini ama ameacha ajira anakosa stahiki yake kwa sababu hamna michango ambayo imepelekwa sehemu husika...
Kuna zaidi ya siku 10, Crowned Miss Tanzania hajafika huko Puerto Rico, wanzake wameshafika na wanaendelea na kambi kwa nini miss wetu hajafika mpaka muda huu?simply hawaelewani na uongozi wanaondaa hili tamasha
Nashauri serikali iunde taasisi huru, inayojitegema kwa ajili ya kuandaa tuzo hii...
Wataalamu mliosoma sana tena sana sheria mpaka mkaemda LAW SCHOOL na mkaitwa wakili wasomi wekeni vifungu tufunguke, binafsi ninadhani speaker hatufai. Kura ya kutokuwa na imani naye ipite mara moja. Huyu ni ufunguo utakao fungua kudidimia kwa nchi yetu
...sheria za kumuondoa ziko vipi?
...ninahitaji mkopo kwa ajili ya kujenga jengo la ghorofa 5, Sinza karibu na jengo jipya la psssf, ila sitaji kudhamini jengo hilo kwa kutumia biashara zangu ama kipato kingine nje ya jengo lenyewe kuwa kama dhamana
Je ni bank gani ninaweza kuitumia kupata mkopo wa aina hii?
Natanguliza shukrani
Kinachotokea sasa hivi ni wakusanya ticket wanakusanya tickets pamoja na EFD receipts, kisha wanazirudisha katika sales point hili coaster hapa getini.
Babu Tale yupo getini.
Nimeona habari kuwa waziri mkuu Mh. Kassim Majaliwa kamsimamisha kazi engineer (mhandisi) huko morogoro kwa kosa la kuwa na milango mibovu. Wise move lakini sioni kama ni sawa, kamuonea tuu ndugu mhandisi inawezekana engineer alikuwa mbele kujibu jibu maswali akakwaa kisiki
Hayo mambo ya...
Tufikirie: tutafikia nchi ya viwanda miaka ijayo ila kwa sasa its so much cheaper to use somebody factory huko china na nchi nyinginezo uka produce na ukafanya biashara yako vizuri tuu hapa Tanzania bila jasho, tukubaline watu wengi duniani wanafanya, mfanyabiasha anatengeneza tuu name tag/brand...
My point, hakuna nchi inayojengwa na watu wa nje, nchi inajengwa na wananchi wenyewe, Tanzania itajengwa na watanzania kupitia kodi, naomba kuorodhesha baadhi ya faida za kulipa kodi kwa mwananchi
1. Uzalendo- kulipa kodi inauma na utataka kujua jasho lako linatumika vipi katika maendeleo ya...
Kwanza kabisa niseme sooner or later bangi itakuwa legal duniani kote, kama taifa tujitafakari tuwe wa kwanza Africa ku legalize zao hili kibiashara, jimbo moja la marekani limevuna zaidi ya usd 1 billion kama kodi itokanayo na biashara tuvune faida yake mapema
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale wenzangu wa kauka nikuvae hizi ndio zenyewe
Sababu ya kuuza: napumzisha nyingine za ofisi hivyo...
Sio mara moja nimekuwa nikimtamani mke wa mzee wangu mmoja(sio ndugu ni co worker) huyo mama anakaribia kugonga 55 kwa sasa hivi, leo nipo hapa kwenye sherehe mke wake kapemdeza kinoma, cha ajabu kuna mmama mwingine tumekaaa nae pembeni nae nimeanza kumuelewa...nimegonga early 30s hata wiki...
Mwaka jana nilikutana na neno Diaba, lile ndoo kubwa la kuwekea maji, sikuwahi kujua linaitwa hivyo hata hivyo sikuwahi kulitumia mpaka hiyo siku mimeenda kununua kwa ajili ya kuwekea taka
Kila anapovurunda kwa masifa yake anakimbilia kwenye mahubiri na nyimbo za injili, anayepaswa kuumia ni yeye pekee, na mkamilifu ni yeye pekee, anayejua yote ni yeye pekee hata akiumiza wengine yupo sahihi na mkamilifu
Wito wangu: RC Makonda acha kucheza hii kadi ya kuonyesha kwamba wewe...
Ukiachana na yaliyopita kipindi cha mwanzoni wa ujana wake, DC jokate wa wilaya ya kisarawe ni mwanamke shupavu sana, anajua kujiongeza na hakika atailetea maendeleo kisarawe, ningekuwa ni raisi basi ningemkabidhi mkoa mzima wa pwani autemdee haki, kisarawe peke yake haimtoshi,
Ni mixer ya...
Wadau ninaomba msaada wenu, nina safari ya Iringa natarajia kutumia usafiri wa Bus, hivyo basi ninaomba ushauri wenu nipande Bus gani ambalo ni luxury (full ac, siti zisizobanana, charger USB Port), pamoja na huduma nzuri.
Ninatoka Dar es Salaam
Faida ni nyingi kuliko hasara, kama wameweza kuhalalisha matumizi ya tumbaku ambayo ima madhara makubwa kiafya zaidi ya bangi.
Faida za mmea huu ni kama zifuatazo
1. Kuiingizia nchi na mkulima mapato
Kilimo cha bangi kinaweza kuingizia nchi mapato endapo itazalishwa kwa ubora na wingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.